jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Endelea kujichanganya siku ukipata Homa ya ini utatia akili,maana Ukimwi mmeuzoea.
Malaika annex ya machame bus pale ni area c mkuu ipo karibu na dear mama hotel au town campus ya chuo cha homboloMalaika Nyingine Area A Hapo Machame Bus
Bambalaga , Dox Mnada Wa Zamani
Tango Hapo Uhindini.
Chako Ni Chako Jirani Na Masjid Mubarak(Swali Kabla Hujaswaliwa)
hayo yote ya nini tembelea www.exotictanzania.comWakuu Nipeni miongozo na maelekezo
Ni Sahihi Area C NilikoseaMalaika annex ya machame bus pale ni area c mkuu ipo karibu na dear mama hotel au town campus ya chuo cha hombolo
Eeeh mnama...πYeees mitaa hii yenye car wash nyingi nakutanaga nazo sana.
Aika mbe!Eeeh mnama...π
Mafuta ya taa π π πmadem wazawa wa dom jau sana labda ubahatishe wa kutoka nje ya uo mkoa ila wenyeji wana wenge sana wala hawaeleweki
Nenda hapo 'white house' ukale wale wafanya usafi wenu!Wakuu Nipeni miongozo na maelekezo
Mbinu za kujikinga na homa ya ini ni zipi?UKIMWI tumeuzoea aseee homa ya ini ni hatari huchukui round πππ
ugonjwa unao ambukiza kwa hewa mkuu akikoa mtu au hata kwa jasho na kugusana muda mrefu.Mbinu za kujikinga na homa ya ini ni zipi?