Ukiacha Kenya, hii kitu hufanyika wapi hapa duniani?

Wapeni wana habari uhuru..halafu ndio mtajua hamjui
Tuonyeshe documentary kama hii kutoka nchi yoyote hapa duniani, au duniani kote hakuna Uhuru wa vyombo vya habari isipokua Kenya pekee?. Hahahaha, Hahahaha, Hahahaha.
 
Ndivyo mnavyojidanganya hapo korogocho eeh,
Niambie ni sehemu ipi kuna uchafu kama huo Tanzania [emoji23][emoji23][emoji23]
Ninyi ni wachafu by nature,
Huwezi kuta takataka kama hii huku.
Alafu naona umeumia sana itakuwa na wewe ulikodisha mke wako alafu akagoma kurudi.


Wapeni wana habari uhuru..halafu ndio mtajua hamjui
 
Yani mnafiki utamjua tu...unaongea ni kana kwamba hapa duniani kuna nchi mbunge kapigwa risasi katika maeneo ya bunge na cctv bado hazijakamata tukio..nikuulize hyo movie ulishawai iona wapi hapa duniani..

Sio Tanzania tu, nimeuliza kama kuna nchi yoyote hapa duniani jambo kama hili linatokea tufahamishane, au Uhuru wa habari upo Kenya pekee?
 
Utayajulia wapi hayo ya duniani..wakati kila ukilala unawaza kupambazuke ndio uangalie tv stations za kenya..hta mitandaoni pia waangalia ishu za kenya...

Si upate hyo diversity kwanza
Tuonyeshe documentary kama hii kutoka nchi yoyote hapa duniani, au duniani kote hakuna Uhuru wa vyombo vya habari isipokua Kenya pekee?. Hahahaha, Hahahaha, Hahahaha.
 
Wacha mke wako..hta wewe pia ukitaka utakodishwa...huo ni uamuzi wa mtu..kilichonishangaza ni mtu kula mwanae aliyemzaa..hyo ndo iliniuma sana
 
Yani mnafiki utamjua tu...unaongea ni kana kwamba hapa duniani kuna nchi mbunge kapigwa risasi katika maeneo ya bunge na cctv bado hazijakamata tukio..nikuulize hyo movie ulishawai iona wapi hapa duniani..
Ile report ya FBI imeshatoka public? Au bado imelowekwa...ili itoke nyepesi? How bout mt. Kenya Mafia's?
 
Utayajulia wapi hayo ya duniani..wakati kila ukilala unawaza kupambazuke ndio uangalie tv stations za kenya..hta mitandaoni pia waangalia ishu za kenya...

Si upate hyo diversity kwanza
Wewe si utuwekee hapa, au ninyi hamna uwezo wa kutafuta huko duniani?,Mbona mnatuwekea habari za Tanzania. Tuwekeeni hapa nchi yoyote duniani inayofanya hivi. Hahahaha, hahahaha, Hahahaha.
 
Sina mke labda huyo wako uliemkodisha akirudi unikodishie pia [emoji23][emoji23][emoji23]
Wacha mke wako..hta wewe pia ukitaka utakodishwa...huo ni uamuzi wa mtu..kilichonishangaza ni mtu kula mwanae aliyemzaa..hyo ndo iliniuma sana
 
Nashukuru sana ujumbe umeupata...ila si mbaya kutafuta pa kutokea
Ile report ya FBI imeshatoka public? Au bado imelowekwa...ili itoke nyepesi? How bout mt. Kenya Mafia's?
 
Nikuwekee nn?
Kisha unafikiria wakenya wako jf pekeake...wa tz ndio hamna zaidi ya hapa...kule kwengine ndio hamtosikizwa haswa...manake wengine wanajua tanzania ni mkoa kenya
Wewe si utuwekee hapa, au ninyi hamna uwezo wa kutafuta huko duniani?,Mbona mnatuwekea habari za Tanzania. Tuwekeeni hapa nchi yoyote duniani inayofanya hivi. Hahahaha, hahahaha, Hahahaha.
 
Wacha mke wako..hta wewe pia ukitaka utakodishwa...huo ni uamuzi wa mtu..kilichonishangaza ni mtu kula mwanae aliyemzaa..hyo ndo iliniuma sana
Hahahaha, acha kunichafulia Uzi, tunazungumzia kuhusu hao jamaa. Kenya tatizo liko wapi, mbona mnateseka sana?. Hivi hata hili pia mnamsingizia Mungu?. Kuchota kinyesi kibichi kama mnachota MAJI ya kunywa, hata " gloves" hamuwezi kuvaa kweli?
 
Mlioangalia hiyo clip mtuelezee wengine dawa za kuzuia kutapika hatutembei nazo
 
Hta bure pia ukimtaka utampata...uamuzi wake tu...ana haki ya kujiamulia chochote kile anachokiona kwake ni sawa...
Sina mke labda huyo wako uliemkodisha akirudi unikodishie pia [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nikuwekee nn?
Kisha unafikiria wakenya wako jf pekeake...wa tz ndio hamna zaidi ya hapa...kule kwengine ndio hamtosikizwa haswa...manake wengine wanajua tanzania ni mkoa kenya
Duh!!! We jamaa ni hopeless jabisa.
Jaribu kuwa na exposure kidogo.
 
Unayasema wewe hayo ya kumsingizia Mungu
Hahahaha, acha kunichafulia Uzi, tunazungumzia kuhusu hao jamaa. Kenya tatizo liko wapi, mbona mnateseka sana?. Hivi hata hili pia mnamsingizia Mungu?. Kuchota kinyesi kibichi kama mnachota MAJI ya kunywa, hata " gloves" hamuwezi kuvaa kweli?
 
Nikuwekee nn?
Kisha unafikiria wakenya wako jf pekeake...wa tz ndio hamna zaidi ya hapa...kule kwengine ndio hamtosikizwa haswa...manake wengine wanajua tanzania ni mkoa kenya
Kwahiyo hili la kuchota na kuoga mavi kwako unadhani ni kawaida duniani?_ Hahahaha, hahahaha, hahahaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…