Ukiacha Kenya, hii kitu hufanyika wapi hapa duniani?

Bro hii kitu nimeona jana kwenye makala ya Bill gates kule netflix, alaf kwa bahati mbaya wakati na tazama nilikua natazama huku nakula,aisee chakula kilinishinda. mwanzoni nilizani pengine ni nigeria ila baada ya kuona hyo video yako nashawishika kuamini pale ilikua ni kenya,

Link ya makala ya bill gate HII HAPA angalia kuanzia dakika ya 13 hapo, ila nakuonya usiangalie wakati unakula au umetoka kula unaweza tapika asee.
 
Yani mnafiki utamjua tu...unaongea ni kana kwamba hapa duniani kuna nchi mbunge kapigwa risasi katika maeneo ya bunge na cctv bado hazijakamata tukio..nikuulize hyo movie ulishawai iona wapi hapa duniani..

Anzisha uzi tutachangia bro.
Nami nitaanzisha uzi unaohusu kama duniani kuna mfanyakazi wa tume ya uchaguzi amewahi uawa na kukatwa mkono at the eve of general election.
 
Anzisha uzi tutachangia bro.
Nami nitaanzisha uzi unaohusu kama duniani kuna mfanyakazi wa tume ya uchaguzi amewahi uawa na kukatwa mkono at the eve of general election.
Anataka kuwatoa kwenye huu Uzi, msikubali kutoka. Hii ni aibu na fedheha kubwa sana, anajaribu kuusaulisha kwa kuingiza ajenda, tumkamatie hapa hapa asitoke.
 

 
Ulienda huko kufanya nini? Kama Tanzania ina utajiri basi mbona uende kuishi kwa nchi za wenyewe kwanza kwa slums.
 
Horrific catastrophic horrible, sijawahi ona hii toka nizaliwe, nimetapikaaa wtf 😱😱😱😱😱😱😱😱😱😱
Uongo. Hivi wewe jinamizi una matapiko kweli? Wewe hata mate huna.
 
Heheee!!watu wanauliwa sana kw ajili ya madaraka...si hta magu ali attempt murder lln ika feli
Anzisha uzi tutachangia bro.
Nami nitaanzisha uzi unaohusu kama duniani kuna mfanyakazi wa tume ya uchaguzi amewahi uawa na kukatwa mkono at the eve of general election.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…