Ukiacha Kenya, hii kitu hufanyika wapi hapa duniani?



Hawa ndo mabaharia bila shaka!
 
Horrific disgusting, what the bloody hell I just viewed [emoji33][emoji33][emoji33][emoji33][emoji33] wtf is going on here
Mkuu kuna siku niliongea humu ndani nikisema Kenya ni kama India tu.
Baba mmoja mama tofauti.
Yani wana GDP kubwa lakini wana poor standard living.

Ona India hii nchi ya sita kwa great nominal GDP ppp worldwide.

 
Kutoa ni hiyari ya mtu
Hiari ya mtu kweli, na mwenye kutoa huyo ana roho nzuri, asietoa wakati wenzake wanapata shida huyo ni roho mbaya. Hata kama ni hiari yake. Inaonekana nchi yenu basi imejaa maroho mbaya and that explains a lot about you guys....
 
Tuleteeni data hapa za india na tanzania tulinganishe...maneno yyte yule atajisemea
Mkuu kuna siku niliongea humu ndani nikisema Kenya ni kama India tu.
Baba mmoja mama tofauti.
Yani wana GDP kubwa lakini wana poor standard living.

Ona India hii nchi ya sita kwa great nominal GDP ppp worldwide.

 
Tuleteeni data hapa za india na tanzania tulinganishe...maneno yyte yule atajisemea
Bob hiyo video umeiona?
Watu wanakunya kati kati ya jiji kwa ukosefu wa vyoo hv hata Nairobi hili lipo?
Hata Rwanda ama Burundi ushawahi ona watu wanakunya katikati ya CBD kisa ukosefu wa vyoo?

Acha uzwazwa na poor reasoning.
 
Tuleteeni data hapa za india na tanzania tulinganishe...maneno yyte yule atajisemea
NCHI YEYOTE YENYE MAENDELEO YA KIJAMII HAIWEZI KUWA NA UKOSEFU WA VYOO KATIKATI YA JIJI KIASI WATU WANAKUNYA BARABARANI.
INDIA NI MASKINI SANA WANANCHI WAKE WANA POOR LIFE STANDARDS LICHA YA SERIKALI KUWA NA UTAJIRI.

1 India is ranked 105 amongst 128 countries in its Education for All Development Index. Among SAARC nations, India stands third behind Sri Lanka, and Maldives. India still has one of the lowest female literacy rate in Asia. As per the India’s last census in 2011, the female literacy stands at 65.46% compared to 82.14% of males. estimates show that for every 100 girls in rural India only a single one reaches class 12 and almost 40% of girls leave school even before reaching the fifth standard.
India’s poverty is one of the main reasons for low literacy among women. Only 13% of farm is owned by women across India, however, this figure is very low when it comes to Dalit women in India. About 41% women in India make their living by manual labour.
Being a non-earning member, it further expands women vulnerability and increases women dependability on their male counterparts.
Women in labour force Gender Wage Gap
The wage gap between Indian men and women is amongst the worst in the world, a report by international confederation of charitable organisations, Oxfam, said. The Monster salary Index (MSI) says, Indian men earn 25% more than women in the same kind of work done by both men and women. The average gender gap is 38.2%. However, Accenture research says that the gender gap in India is as high as 67%. More than 47% of women in India are involved in Agriculture related works, however the wage gap is beyond comprehension, because of non-uniformity in sectors, which is the same for other unorganized sectors in India.

USIIFANANISHE INDIA NA TZ KTK MAENDELEO YA KIJAMII.MAENDELEO YA KIUCHUMI INDIA IMETUPITA TENA KWA KIASI KIKUBWA KISEDE MAANA INDIA NI NCHI YA SITA KM SIKOSEI ULIMWENGUNI KTK MAENDELEO YA KIUCHUMI.
LAKINI KTK MAENDELEO YA KIJAMII INDIA NI MWISHO HAINA MAENDELEO YA KIJAMII KABBISA.
 
kama ndio purukushani zenyewe ku maintain u DC basi tz hatuutaki.ah[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Hta wao wanashangaa watu wanauza watoto wao for rituals in tanzania...
Kwhyo na wao wakisema watanzania bado wako stone age, watakua wapo sahihi?
Bob hiyo video umeiona?
Watu wanakunya kati kati ya jiji kwa ukosefu wa vyoo hv hata Nairobi hili lipo?
Hata Rwanda ama Burundi ushawahi ona watu wanakunya katikati ya CBD kisa ukosefu wa vyoo?

Acha uzwazwa na poor reasoning.
 
Lete hzo data basi katika sekta ya maendeleo ya kijamii..tuone mumewapita na nn
 
Hta wao wanashangaa watu wanauza watoto wao for rituals in tanzania...
Kwhyo na wao wakisema watanzania bado wako stone age, watakua wapo sahihi?
Bado ni poor reasoning bro.
Masuala ya rituals yako popote pale.
Na hapa Tz yanatokea kwa minimal level ilhali India kiumaskini wapo ktk maximal level.
 
Poor reasoning kwako labda...
Mauwaji ya albino je?
Tatizo lenu mkiji compare na nchi nyngine mnaangalia mapungufu na kulinganisha na mazuri ya kwenu...

Weka kila kitu kw meza..halafu mwisho wa mada tunajua mwanaume ni nani...si eti unakomaa wanakunya barabarani, wakati wana vitu ambavyo wamewazidi mara elfu moja...
Bado ni poor reasoning bro.
Masuala ya rituals yako popote pale.
Na hapa Tz yanatokea kwa minimal level ilhali India kiumaskini wapo ktk maximal level.
Kwhyo kw hilo la kunya barabarani...unataka kusema tanzania imeizidi india?
"moron"
 
Lete hzo data basi katika sekta ya maendeleo ya kijamii..tuone mumewapita na nn
BWASHEE TUNAANZA NA EMPLOYMENTS.
UKITIZAMA TZ UNEMPLOYMENT RATE INAPUNGUA KADRI SIKU ZINAVYOKWENDA INDIA INAONGEZEKA.

Slowdown Blues: India's unemployment rate in April rises to 7.6%, says CMIE
Reuters | New Delhi, Wednesday, May 8, 2019 | 13:35 IST
Factory activity expanded at its slowest pace in eight months in April as growth in new orders and output dipped as the general election got under way
India's unemployment rate in April rose to 7.6 percent, the highest since October 2016, and up from 6.71 percent in March, according to data compiled by the Centre for Monitoring Indian Economy (CMIE) released late on Wednesday.
"The lower unemployment rate in March was a blip, and it has again climbed following the trend of earlier months," Mahesh Vyas, head of the Mumbai-based CMIE think-tank, told Reuters.


Trading Economics uses cookies to ensure you get the best experience on our website.
Dismiss
Languages
Copyright [emoji2398]2019 TRADING ECONOMICS
All Rights Reserved Learn More
Unemployment Rate in Tanzania decreased to 10.30 percent in 2014 from 10.70 percent in 2011. Unemployment Rate in Tanzania averaged 11.46 percent from 2001 until 2014, reaching an all time high of 12.90 percent in 2001 and a record low of 10.30 percent in 2014.

Halafu tizama wapi pa kukimbilia?

Nakuja ktk water services mkuu narudi sasa hivi.
 
Bro mm nazungumzia social development.
Sizungumzii economic development budah.
India ina economic development kubwa ya sita ulimwenguni.
Lakini ktk social development hawana kitu mzeeh.
Mauaji ya albino yalitokea na hayapo ebu acha utoto kuwa mtu mzima.
Mauaji ya Albino yalitokea na hayakua massively bali kwa minimal.
Ila suala la ukosefu wa vyoo India ni suala la taifa zima we huoni hatulingani hapo?
Bro ebu kuwa great thinker km JF inavyokutaka uwe.
 
Usitukane man.
Ndio maana nikakwambia tusizungumzie economic development .
Naelewa maendeleo ya kiuchumi India imetuzidi.
Tuzungumzie maendeleo ya kijamii mkuu.
Uisende mbali ukajivuruga tunazungumzia maendeleo ya kijamii.
India hana kabbisa maendeleo ya kijamii.

Tunakuja ktk Literace rate;

Literacy: definition: age 15 and over can read and write Kiswahili (Swahili), English, or Arabic
total population: 77.9%
male: 83.2%
female: 73.1% (2015 est.)
Definition: This entry includes a definition of literacy and Census Bureau percentages for the total population , males , and females . There are no universal definitions and standards of literacy. Unless otherwise specified, all rates are based on the most common definition - the ability to read and write at a specified age. Detailing the standards that individual countries use to assess the ability to read and write is beyond the scope of the Factbook . Information on literacy, while not a perfect measure of educational results, is probably the most easily available and valid for international comparisons. Low levels of literacy, and education in general, can impede the economic development of a country in the current rapidly changing, technology-driven world.
Source: CIA World Factbook - This page was last updated on January 20, 2018



India Demographics
Data on ethnicity is not collected by the Indian census, although the CIA World Factbook estimates the population is 72% Indo-Aryan, 25% Dravidian, and 3% Mongoloid and other.
Hinduism is the most common religion in India, accounting for about 80% of the population. Islam is the second-largest religion at 13% of the population. Other major religious groups in India are Christians (2.3%), Sikhs (1.9%), Buddhists (0.8%) and Jains (0.4%). People who claimed no religion are officially recorded under 'other' by the census. In 2011, 0.9% of Indians selected the 'No Religion' category.
While the number of Indians living in urban areas has increased over the last two decades, about 67% of people still live in rural areas. In 2011, India had a literacy rate of 74%: 82% for men and 65% for women. The literacy rate varies wildly by state. Bihar is the least literate with a rate of 63.82%.

Nakuja tena kaka usiondoke.
USIJIVURUGE LAKINI TUNAZUNGUMZIA MAENDELEO YA KIJAMII SIO YA KIUCHUMI KAKA SAWA???

NAKUJA KTK MAJI SAFI NA SALAMA NIMEJISAHAU KULETA.
 
Km kawaida yenu..kuchagua mazuri yenu na kuyalinganisha na mabaya ya wenzenu..halafu mnabaki kujichkesha kujiona mpo juu, kumbe ni chocha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…