Ukiacha Kenya, hii kitu hufanyika wapi hapa duniani?

Hyo ripoti niliyokuletea si wamwwashinda kw vitu vingi sana upande wa social...

Wanawake kukandamizwa india inategemea na jimbo.si kila mahali...nikm vile nynyi hko mnavyowakandamiza wapinzani
 
Haiyaaa!!
 
Hyo ripoti niliyokuletea si wamwwashinda kw vitu vingi sana upande wa social...

Wanawake kukandamizwa india inategemea na jimbo.si kila mahali...nikm vile nynyi hko mnavyowakandamiza wapinzani
Duh mkuu una hela ww tajiri nenda siku India uone maisha yao na ukandamizaji wa wanawake.Nimekuletea article inazungumzia jinsi wanawake wanavyolipwa chini nusu ya mshahara wa wanaume licha ya wao kuwa wote wanafanya kazi sawiya.
KAKA INDIA MAISHA YA KULE HAPANA.
Bro una hela usiziweke ndani zikarundikana ebu kataliii HINDUSTAN.
Acha kuzirundika hela ndani.
 
Wapeni wana habari uhuru..halafu ndio mtajua hamjui
Kila siku hapa jf wakenya walikuwa wanaonyesha pass kuwa wanakuja dar waka wahakikishia wakenya na watz wa jf kuwa watapiga picha kuonyesha uozo wa dar lakini cha kushangaza atukuwaona wakileta mrejesho wowote wa kuiponda dar hii inathibitisha dar ni kiboko yao
 
Hta bure pia ukimtaka utampata...uamuzi wake tu...ana haki ya kujiamulia chochote kile anachokiona kwake ni sawa...
Watz wana chokoza komora mzee wa flytoilet hawajui Kenya inanukia marashi ya kinyesi kila pahala
 
Wacha kutishia inzi mafii wewe kwani hujui huyo komora ni mshindi wa kulusha flytoilet kibera huyo huu Uzi uwezi mbandua ndiyo mambo yake
Wewe jamaa hujioni hata aibu. Wenzako wameukimbia uzi huu maana ni aibu. Wewe unatete m&vi kubebwa kwenye mapipa.
Unatia kinyaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…