Ukiacha Mbowe aliyejimilikisha CHADEMA, Wapo wabunge wamejimilikisha majimbo. Nao tuwatafutie wa kuwang'oa!

Ukiacha Mbowe aliyejimilikisha CHADEMA, Wapo wabunge wamejimilikisha majimbo. Nao tuwatafutie wa kuwang'oa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mimi namtazama Tundu Antipas Lissu kama spirit Fulani ya Uamsho

Ni vema wanaccm huko majimboni mkatafuta akina Tundu Lisu wa Mchongo wawasaidie kuwang'oa akina Jah people nk

Navalonge swela 🐼

Ahsanteni Sana 😂😂
 
Hivi umewahi kujiuliza kwanini nyuzi zako hazifiki hata page 2, pamoja na kuziandika nyuzi 50 plus kwa siku?
 
Hoja yake ni msingi ila imekosa nyama nyama, unaweza kuona jimbo x mbunge abazaidi ya miaka 20, 15,10 na anagombea tena, vijana chipukizi wanakosa fuza kukua kwenye siasa,mf jimbo la Lukuvi nk, alafu utasikia vijana mjiali.
 
Back
Top Bottom