ukiacha ualimu utaishi vipi?

My Mud

Senior Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
108
Reaction score
17
kuna
rafiki yangu ana mwaka1kwenye ualimu ktk kijji cha mkoa wa mbali na
nyumbani,anapita mikoa6 had kufika huko,anang'ang'ania kuacha kazi,
sijui hata nimshauri vp ndugu zangu wanajf!sababu za kuacha kazi hyo ni
kama zftzo: , ana ujuz wa ufund umeme anaweza wiring ya majengo na
kutengeneza vifaa vya electronics kama pasi za umeme n.k kwa bahati
mbaya hana chet kinacho thbtisha ujuzi wake kotokana na ujuz huo
anahisi anaweza akajiajiri mtaani,sabbu nyingne mazingira halipo sio
rafiki kwa kujiendeleza kielimu kwani anania ya kujiendeleza,huko aliko
hakuna mwenye dini au kabila kama lake,anashindwa kufanya mradi wowote
hvyo yeye hutegemea mshahara ambao hautosh kufanya maendeleo sana sana
kula na usafiri.mila na tamaduni za huko anashindwa kuzivumilia zina
mnyima freedom,pia suala la uamisho ni gumu sana hadi uwe na sababu kama
ugonjwa wa kudumu,ndoa,yatima,mtegemewa na wazazi vinginevyo hupati
uhamisho.Kiukweli yuko serious,me nahs akiacha hyo kzi hatakuwa kapiga
teke bakuli la dhahabu... nampenda sana tangu udogoni shida yake shida
yangu,tafadhali,maoni yenu wana jf.ASENTEN SANA.
 
Anavuka mikoa sita toka wapi?
Kuacha ualim si tatizo anaweza kuacha.
Mim ni mwalim,nilipangwa KIGOMA MJINI.
SIKWENDA,NIPO DAR NAFUNDISHA PRIVATE,MWAKA HUU NAMALIZA MKATABA WANGU NA SITAENDELEA TENA,
NIMEAMUA KUITUMIKIA JAMII KWA STYL NYINGINE,NIME-INITIATE N.G.O NA WENZANGU LENGO NI KUWAPA LIFE SKILLZ WANAFUNZI JUU YA KUJIKINGA NA DRUG ABUSE.
Issue si ualim,issue unaitumiaje elim yako?
 

Pwani 2 mara,asante sana.
 

msipite tu jamani tupieni maoni yenu tafadhali.
 
 
Mshauri afanye hiyo kazi kwa muda ameki mtaji ajaribu ujasiriamali,
 
Mmmh, nimesoma hata sijaelewa kitu. Hivi humo kwenye nyekundu ndiyo kukua kwa kiswahili au ndo kufa kwake. Mwisho wa siku tutakuwa na kiswahili kama cha wenzetu Wakenya.
Huyo rafiki yako mwambie atafute visingizio vya kumuwezesha kuhama. Lakini siyo kuacha kazi. Vinginevyo kama ana mtaji wa kutosha kiasi cha kwamba anaweza kufanya hata biashara ili kuinua maisha yake, basi anaweza kuacha.
 

nashukuru.
 
mwambie apige kazi itimie miaka miwili...then aombe kwenda kusoma... "ni haki yake kisheria'' kama ana diploma akasome bachelor..kama degree aombe masters !!''ACHUKUE MKOPO BANK anaweza akachukua hadi mil6'' achimoe pesa kadhaa afanye ada...nyingine afanye biashara endelevu (chenji mbili tatu ziyakuwa hazimpigi chenga maaana mshahara takuwa anakatwa nusu/mkopo)....
AKIMALIZA BUKU APIGE MBIO KALI.....
 
nashukuru kwa ushauri mzuri,nitaufikisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…