Ukiachana na kitanda na vyombo vya kulia/kupikia, ni kitu gani cha kwanza kununua baada ya kuanza kuishi mwenyewe...

Ukiachana na kitanda na vyombo vya kulia/kupikia, ni kitu gani cha kwanza kununua baada ya kuanza kuishi mwenyewe...

stritglow

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2018
Posts
622
Reaction score
1,750
Mtu anapoanza kujitegemea, huanza na basic needs kwanza, yaani kitanda, vyombo vya kulia na kupikia(hapa inajumuisha jiko).... baada ya hapo ndo mtu huanza kununua vitu vingine anavyo penda yeye. Either Tv, Radio, Viti n.k. So baada ya kuanza kujitegemea ni kitu gani ulinunua baada ya vile vitu muhimu vya kwanza, yaani kitanda na vyombo vya kulia/kupikia?
 
Mtu anapoanza kujitegemea, huanza na basic needs kwanza, yaani kitanda, vyombo vya kulia na kupikia(hapa inajumuisha jiko).... baada ya hapo ndo mtu huanza kununua vitu vingine anavyo penda yeye. Either Tv, Radio, Viti n.k. So baada ya kuanza kujitegemea ni kitu gani ulinunua baada ya vile vitu muhimu vya kwanza, yaani kitanda na vyombo vya kulia/kupikia?
Mtoto mzuri wa kike.
 
Nakumbuka mm nilianza na zulia nyoya limesimama, godoro la inch 12 nkaliweka chini, radio na kabati la kufunga na zipu.
Na ndoo ndogo na dumu 1 bhaaaaaaaaas
 
Mtu anapoanza kujitegemea, huanza na basic needs kwanza, yaani kitanda, vyombo vya kulia na kupikia(hapa inajumuisha jiko).... baada ya hapo ndo mtu huanza kununua vitu vingine anavyo penda yeye. Either Tv, Radio, Viti n.k. So baada ya kuanza kujitegemea ni kitu gani ulinunua baada ya vile vitu muhimu vya kwanza, yaani kitanda na vyombo vya kulia/kupikia?
Nilinunua Rice cooker
 
mbunxe, kila jioni ikiingia niliwahi Bar kusubiri Maid wadogowadogo waliotoka Kondoa, usiku walikuwa hawana pa kwenda ila kulala jikoni au kwenye hall, sasa kujibebea ni bure kazi ni asubuhi hela ya supu.
baada ya hapo ikafuata ndala na pichu zao natundika
 
mbunxe, kila jioni ikiingia niliwahi Bar kusubiri Maid wadogowadogo waliotoka Kondoa, usiku walikuwa hawana pa kwenda ila kulala jikoni au kwenye hall, sasa kujibebea ni bure kazi ni asubuhi hela ya supu.
baada ya hapo ikafuata ndala na pichu zao natundika

[emoji23] [emoji23]
 
Nakushauri uanze na Box la condoms, sababu maisha yamebadilika na dunia inakimbia kwa kasi kuliko hapo kale...[emoji30][emoji30][emoji30]
Nikiona avatar tu najua ata comment inayotoka hapo lazima ifurahishe
 
Basic needs ni clothes shelter n food. Sio hivyo ulivyotaja wewe.
 
Back
Top Bottom