Ukiachika, nijulishe..

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
jamani kwa yoyote atakaepata matatizo ya kuachwa na mkewe anijulishe natumaini kuachwa si kuachika...swala ni kuvumiliana na kurekebishana
karibu sana
 
jamani kwa yoyote atakaepata matatizo ya kuachwa na mkewe anijulishe natumaini kuachwa si kuachika...swala ni kuvumiliana na kurekebishana
karibu sana

Hahaha! I can smell your sweetness! LOL! Kuchwa na mke? Mi najua mke ndio huwa anaachwa! Huyo atakayeachwa na mkewe nakushauri usimtafute. Stuka! Tutafute sisi tunaotafuta wake wa pili!
 
Hahaha! I can smell your sweetness! LOL! Kuchwa na mke? Mi najua mke ndio huwa anaachwa! Huyo atakayeachwa na mkewe nakushauri usimtafute. Stuka! Tutafute sisi tunaotafuta wake wa pili!

lohhhhh mke wa pili si ndio unatufanya tuendelee kuachika ungesema unatamtafuta wa NNE ningekufikiria maana najua hapo mwisho wa reli...au mmeongezewa na kuwa sita...maana siku hizi hata ajira miaka 50-60-65,,sembuse wake 7??
 
lohhhhh mke wa pili si ndio unatufanya tuendelee kuachika ungesema unatamtafuta wa NNE ningekufikiria maana najua hapo mwisho wa reli...au mmeongezewa na kuwa sita...maana siku hizi hata ajira miaka 50-60-65,,sembuse wake 7??

Tayari nimeachika, kazi kwako sasa.
 
jamani kwa yoyote atakaepata matatizo ya kuachwa na mkewe anijulishe natumaini kuachwa si kuachika...swala ni kuvumiliana na kurekebishana
karibu sana

Mimi sijaachika wala nini sijawahi kupendwa kbsa hebu niondolee gundu mamii.
 
mimi ndo nimeachika sasa hivi sasa uni PM tuanze mchakato
 
shauri yenu wapwa,
nyie mnakurupuka tu kuachwa na wake zenu, je mnajua huyu ni HE/SHE???
kazi kwenu.
 
hahahah yaani kila anayeacha akuone wewe babylove utawasaidiaje kwa hili? wakuwowe wewe or !!!
 
kwa hiyo hata kama mko more than tena atawasaidia??
 
Lol, mpwa unachanganya madawa hapa:

mamaaaaaaa, presha ilinipanda na kushuka ghafla, u knoo wora i miiin??, BabyLove!!, pangechimbika.

hahaha kumbe nimechanganya ...

ni he/she??????????????????????????????
 
Lol, mpwa unachanganya madawa hapa:

mamaaaaaaa, presha ilinipanda na kushuka ghafla, u knoo wora i miiin??, BabyLove!!, pangechimbika.

Xpin the great thinker!!! yaani Porjie I was trying to imagine kama ingekua ni babylove, ndo tungekuwa tumetwanga maji sasa loh!!!!!!!
 
Xpin the great thinker!!! yaani Porjie I was trying to imagine kama ingekua ni babylove, ndo tungekuwa tumetwanga maji sasa loh!!!!!!!

Hahaha! Nimeiona na senksi yako. Nami nimekutwangia kuongeza upendo kati yetu. LOL! Afadhali ZD leo kanywa limbwata kimakosa mpaka limemlevya! Natesa na michuchu kwa raha zangu!
 
Mimi sijaachika wala nini sijawahi kupendwa kbsa hebu niondolee gundu mamii.

si umenikana mbele ya kadamnasi eeeh!!! haya nendakwa huyo sweetylove, siju atawaweza nyie wote???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…