jamani hapo kwenye bluu napata tabu kidogo,
kati ya mpwa Nguli na binamu Masanilo nani ni mmiliki halali wa BHT na nani ni mshika pembe??, msaada kwenye tuta plz.
Nguli na bht ndio wasimamizi wa harusi ya chris na ZD. I think this clarifies.
Yani wifi nilishamsamehe lakini kalitibua limeanza upyaaaaaaaaa.Mwaka huu kweli kazi ipo.Mie naona unamtetea bure ,hebu kaangalie ile thread ya ukaribisho kule ndio utahakikisha.Ngoja niondoke kwanza nikajifungie home kama ulivyoshauri.
Kaangalie nilivyomuonya, dont worry Xpin ni wako 2 atapita kote mwisho patakuwa nyumbani kwenu, we nenda 2 nyumbani mambo madogo 2 haya.
hapa kuna nini wapwa?
hapa kuna nini wapwa?
Watu wanataka kunivunjia ndoa yangu mpwa. Lakini wanashindwa. Dada anafanya vitu vyake.
dah...ZD uko wapi mamii? ni nini hii? washindwe na walegee, sasa apo tangu lini kichwa cha nyoka kikabeba mtungi?
Ungekuwepo muda wote dada yangu Lily Flower wala asingepoteza energy yake kivile.
mwenyewe sijui yuko wapi? inabidi nionane naye anioeleze kiunaga ubaga..usijali "amelala tu"......😀
hahahah yaani kila anayeacha akuone wewe babylove utawasaidiaje kwa hili? wakuwowe wewe or !!!
Kila mwenye dada hakosi shemejiKuna kaharufu nakasikia hapa......... Dada Lily Stuka!
Mzee respect, nimekukubali.....pale umekamatika, hata michango yako humu jamvini hatuioni.
Kila mwenye dada hakosi shemeji
Najitahidi kuweka michango ila lazima kwanza ipate approve!
Inachukua muda gani kuwa approved?
Kaka unaunda tume au?Tutaijadili hii sentensi kwenye get tugedha yetu ya wikiendi hii. LOL! Hahaha!