Hakika umetishaaaa, loltuzipende na kuzitetea rasilimali zetu,mimi ntaondoka tu hii kitu
Labda Makinikiahuwa najiuliza kwa sauti kubwa!
ikitokea magu akasema kila mtanzania achukue kitu anachotaka hapa tanzania we utawahi kuchukua nini kiwe chako na vizazi vyako vijavyo???
mi kiukweli nachukua mlima kilimanjaro
embu tiririkeni nyie mtauana mpate nini??