Saint Ivuga JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 54,762 Reaction score 59,204 Jan 17, 2011 #41 kiduku said: mambo michelle? Click to expand... ohoo mali za watu kijana
Chapakazi JF-Expert Member Joined Apr 19, 2009 Posts 2,874 Reaction score 316 Jan 17, 2011 #42 kwanza unamwambia tubaki na chupi...mengine yatafuata...hahahaha
NILHAM RASHED JF-Expert Member Joined Nov 29, 2010 Posts 1,622 Reaction score 43 Jan 17, 2011 #43 una mali nyingi na wewe heee??? :clap2:😛ound:😛ound: Ivuga said: ohoo mali za watu kijana Click to expand...
una mali nyingi na wewe heee??? :clap2:😛ound:😛ound: Ivuga said: ohoo mali za watu kijana Click to expand...
Jaluo_Nyeupe JF-Expert Member Joined Dec 21, 2010 Posts 2,824 Reaction score 2,264 Jan 17, 2011 #44 Hiyo kali, sijawahi kusikia kabisa.
NILHAM RASHED JF-Expert Member Joined Nov 29, 2010 Posts 1,622 Reaction score 43 Jan 17, 2011 #45 ndio hiyo sasa kaka.... kaz kwako.... agemate huyo.... :love: Jaluo_Nyeupe said: Hiyo kali, sijawahi kusikia kabisa. Click to expand...
ndio hiyo sasa kaka.... kaz kwako.... agemate huyo.... :love: Jaluo_Nyeupe said: Hiyo kali, sijawahi kusikia kabisa. Click to expand...
Baba_Enock JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 7,076 Reaction score 2,457 Jan 17, 2011 #46 Konakali said: Upo sebuleni au mahali popote palipotulia na agemate wako, lakini wa jinsia tofauti na ni ninyi tu peke yenu.... ghafla anakuangalia na jicho la kujiamini na kukuambia "nitongoze"... Je, ungeanzaje? Click to expand... Ningeanza "kumtongoza" - Simple na probably kila kitu kingeanzia hapo na kuishia hapo!
Konakali said: Upo sebuleni au mahali popote palipotulia na agemate wako, lakini wa jinsia tofauti na ni ninyi tu peke yenu.... ghafla anakuangalia na jicho la kujiamini na kukuambia "nitongoze"... Je, ungeanzaje? Click to expand... Ningeanza "kumtongoza" - Simple na probably kila kitu kingeanzia hapo na kuishia hapo!