Ukiambiwa umtengenezee mpenzi wako kitu kutokana na kazi unayoifanya utamtengenezea nini?

GREAT NAME

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2016
Posts
1,078
Reaction score
1,718
Mimi nafanya kazi bank
nitamtengenezea HELA wewe je?
 
Nitamtengezea mtoto mwingine. Mimi ni mwalimu. Nachapa mwanafunzi mimba. *****.
 
mimi nauza majeneza... ntamtengenezea jeneza zuri zuri size yake
 
Dhahabu.... Nipo mgodini

PM yangu ipo wazi kwa yeyote (ke) aliyevutiwa na kazi yangu
 
Nipo mochwari
Nitampa kuna maiti 1 iliyotelekezwa mwaka wa 3 sasa
 
Nitamtengezea mtoto mwingine. Mimi ni mwalimu. Nachapa mwanafunzi mimba. *****.
Hahaha, kwanini usimtengenezee lesson plan, scheme of work au teaching aid. ikishindikana ata fimbo mtengenezee.
 
Chupi ya chuma yenye kufuri kabisa mi fundi mchomea vyuma.
 
Hivi benki kunatengenezwa hela?
Weka na picha yake kabisa.
 
Ningeteneza P & L Statement ili kumuonyesha jinsi matumizi yake yanavyoaffect financial performance yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…