nitaendelea kupiga nae story halafu kesho yake nitaoga vizuri na kutia deodorant then namfuata kumuuliza kama bado nanuka
sio wote wenye uwezo wa kununua hizo bidhaa mkuu...
nitaendelea kupiga nae story halafu kesho yake nitaoga vizuri na kutia deodorant then namfuata kumuuliza kama bado nanuka