Yohana Daniel
Member
- Mar 18, 2018
- 63
- 33
Shauri usiponde kama huna ushauri it's better kukaa kimyaUna miaka mingapi??? Title ya kijinga sana alafu unashida ya kusaidika, very childish, sjui wanafundisha nini huko
Okay thanksUnaweza onekana pia Overqualified watakuogopa they afford to pay
Unaambiwa ukweli unachongoa mdomo... Matako wewe! Unatuletea mambo ya Facebook hapa?! ๐Shauri usiponde kama huna ushauri it's better kukaa kimya
We dogo jifunze kuandika kichwa cha habari kinachoendana na content! Hapa sio Facebook kuwa straight usaidiweHabari za uzima wana Jamii wenzangu,
Naomba kufahamu namna ya uwaandishi wa Cv (Curriculum Vitae) hasa kuhusisha projects mbali mbali nilizofanya na company tofauti tofauti je, ni sahihi kuandika project zote nilizofanya katika CV yangu?
Na hofu ya kutengeneza kitabu ambacho kinaweza kikiawa ni mzigo kwa waajiri kusoma kitabu.
Naombeni ushauri wenu
Habari za uzima wana Jamii wenzangu,
Naomba kufahamu namna ya uwaandishi wa Cv (Curriculum Vitae) hasa kuhusisha projects mbali mbali nilizofanya na company tofauti tofauti je, ni sahihi kuandika project zote nilizofanya katika CV yangu?
Na hofu ya kutengeneza kitabu ambacho kinaweza kikiawa ni mzigo kwa waajiri kusoma kitabu.
Naombeni ushauri wenu