...haya, ukiandika wosia je, ...utamuonyesha jinsi ulivyoigawanya mali?
Interesting...hivi are u supposed to share the details of your will na mkeo? and vice versa? ama kama mke anayo mali iloyoko katika jina lake, mume ana haki gani hapo? ama yatakuwa yale mambo ya surprise za JM na Diana Ross??
mnapoandika will mnashirikiana ama ni kimya kimya tu? jamani haya mahusiano ya usiri mwigngi tu, kama mumeamua till death do us part kwa nini kuwe na usiri???/ mi nashindwa kabisa kuelewa.
[/COLOR]
Interesting...hivi are u supposed to share the details of your will na mkeo? and vice versa? ama kama mke anayo mali iloyoko katika jina lake, mume ana haki gani hapo? ama yatakuwa yale mambo ya surprise za JM na Diana Ross??
mnapoandika will mnashirikiana ama ni kimya kimya tu? jamani haya mahusiano ya usiri mwigngi tu, kama mumeamua till death do us part kwa nini kuwe na usiri???/ mi nashindwa kabisa kuelewa.
Kisheria haulazimishwi kuonyesha wosia wako. Inakua kati ya wewe na mwanasheria wako na inatunzwa mpaka hapo itakapo hitajika. Ina wezekana hata watu wengine wasi fahamu kama unao wosia au la. Kumuonyesha mumeo/mkeo wosia wako ni chagua lako mwenyewe kutegemeana una uhusiano gani na mwanandoa mwenzio. Pia ina tegemea na wewe mwenyewe kama hauna kitu cha kuficha.