Ukiangalia Utawala wa Ruto Kenya kwenye Katiba Mpya utagundua kumbe Magufuli hakuwa na Ubabe wowote!

Ukiangalia Utawala wa Ruto Kenya kwenye Katiba Mpya utagundua kumbe Magufuli hakuwa na Ubabe wowote!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kumbe Kiongozi anapopokea Madaraka na kukuta nchi ilikuwa inaliwa na mafisadi kila kona ni lazima kiongozi huyo aoneshe mbinu binafsi za kunusuru Taifa.

Magufuli alikuwa haingilii Mahakama kabisa lakini Ruto amesema atapeleka Polisi Haiti licha ya kuwepo Zuio la mahakama ya Kenya linaloagiza Polisi wasipelekwe.

Katiba ni kitabu tu!
 
Back
Top Bottom