Ukibanwa na mkojo uwanjani

Ngoja wataalamu wa soka waje!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 

Attachments

  • IMG_20170107_214655_933.JPG
    36 KB · Views: 54
Wadau naomba kuuliza sheria za FIFA zinasemaje mchezaji wa Mpira wa miguu akibanwa na mkojo sana wakati mechi inaendelea anatakiwa afanyaje?
Si rahisi sana kutokea Coz mpira ni kila baada ya 45 minutes. Kibofu cha binadamu kinajaa Kila baada ya masaa 3.
Afu la pili unapocheza mpira unatoka jasho linalofanya maji mwilini kwa kiasi kikubwa yanatoka na jasho. So physiologically si rahisi kujaza kibofu kwa Dk 45. Si Dhani kama iliwahi tokea. Na kama inatokea mchezaji husika ni mzembe Coz mapumziko ni pamoja na kumaliza hayo.
Anyway rare things it may happen. Ngoja waje wanasheria waseme. Mimi nasemea kwa professional yangu ya udaktari na human physiology
 
labda kipa maana hana purukushani nyingi
 
Unakojoa tu kwenYe mlingoti mmoja wa goli na ni dawa kama wapinzan waliloga ....
 
Hiyo ni sub moja kwa moja haina ubishi. Maana mchezaji atatoka nje ya uwanja mpaka chooni. Hawezi rudi tena ndani, labda kungekuwa na choo sehemu ya kutibiwa majeruhi.
 
Ujaaji unategemea na maji anayokunywa mtu.
 
Ni ngumu labda mchezaji awe na uti ama tezi dune.Kama ni mgonjwa sub inahusika.mf tofauti na huo ni MTU kabanwa haja kubwa,atafanya nini zaidi ya kuomba sub?
 
kandambili huwa wanakojoa popote hata kwenye kuta za uwanja,
 
Wadau naomba kuuliza sheria za FIFA zinasemaje mchezaji wa Mpira wa miguu akibanwa na mkojo sana wakati mechi inaendelea anatakiwa afanyaje?
Haaaaaahhh haaahhh..! Net inazingua wacha nihamie 4G
 
Wadau naomba kuuliza sheria za FIFA zinasemaje mchezaji wa Mpira wa miguu akibanwa na mkojo sana wakati mechi inaendelea anatakiwa afanyaje?
Lakini pia kuna Issue ya Symptomatic and parasympathetic nervous system. Nazo huhusika sana kwenye hii Issue.
 
Kwenye ligi daraja la kwanza mwaka jana kati ya Kanembwa na Geita kipa alienda kuharisha akakaa chooni weeeee akasubiriwa arudi ndo mpira uendelee[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…