Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Lete picha akiwa anakabidhiwa kiatu ili tusikuone zezetaTop Scorer CAF. Mrisho Ngassa-Yanga 2014View attachment 2299577
Alipewa tuzo gani?Top Scorer CAF. Mrisho Ngassa-Yanga 2014View attachment 2299577
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaaaa yaan.Na haya maumivu hayamalizwi na Panadol..sharti watuliee mpaka yaishe yenyewe.
Nyie ni wa hapa hapa tuTulishayabeba ya ndani sana mpaka tumechoka, tunasubiri la klabu bingwa Afrika ndio tukodishe basi la wazi, sio nyie mnakodisha basi kwa kombe Simba SC walilochoka kulibeba...
Kumpigia kura ni vipi?Na saiz tuko na enock inonga baka, tayari 95% ashapata tuzo
Copy & Paste kwa mjinga ni tatizo, atakuharibu akili na wewe.[emoji599] KUTOKA KWA BUGATI
Kupanga ni kuchagua. Wakati Yanga akichukua Treble this season kwa kushinda Ngao Ya Jamii, Azam federation na Ligi kuu, Makolo Treble zao ni
[emoji117]Mpole Cup
[emoji117]Sopu Cup
[emoji117]Sakho Cup Kiufupi chake Treble ya Manyonyo inaitwa MSOSA.
Nb :: Tabu ipo pale pale Makolo,,hadi mtueleze kale katwenty mmekaficha wapi [emoji2957][emoji2957] MSOSA KAMA MSOSA TREBLE [emoji2957][emoji2957] Byuti Byuti [emoji471][emoji471][emoji471]
Maana nzuri ya Treble ipo kwenu baada ya kuchukua makombe mawili ya ndani Mpole na Sopu Cup na mkachukua kombe la Afrika Sakho cupCopy & Paste kwa mjinga ni tatizo, atakuharibu akili na wewe.
Hata maana ya treble haijui huyo role model wako!.