Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Wazoefu wa sheria njoni mnisaidie tafsiri, mfano mtu amekopa akabakisha rejesho 2 akaacha kulipa, mwisho wa siku walio mkopesha wakaamua kumpeleka mahakamani, alivyo somewa mashtaka tu akakana kuwa hadaiwi akaambiwa na hakimu asaini sehem ndani ya faili lake, aliye mkopesha akaambiwa awasilishe ushahidi ( Mkataba wa mkopo ambao upo, na mtu aliyemkabidhi mkopo huo) kesi ikaahirishwa hadi tarehe 16 ili kusikiliza ushahidi.
Sasa wakuu Hii inakaaje kwa wajuzi wa sheria huyu bwana amejiingiza kitanzini au baadae atakubali kuwa anadaiwa, je endapo ataikubali mikataba ya kudaiwa baada ya kuonyeshwa na huku ameshakana kwa mara ya kwanza kuwa hadaiwi hii kesi itakuwaje.
IFAHAMIKE KUWA JAMAA ANAKOPESHA KWA SABABU AMESAJILI BIASHARA HIYO NA ANALIPA KODI YA SERIKALI KAMA KAWAIDA.
Petro E. Mselewa Njoo bingwa
Sasa wakuu Hii inakaaje kwa wajuzi wa sheria huyu bwana amejiingiza kitanzini au baadae atakubali kuwa anadaiwa, je endapo ataikubali mikataba ya kudaiwa baada ya kuonyeshwa na huku ameshakana kwa mara ya kwanza kuwa hadaiwi hii kesi itakuwaje.
IFAHAMIKE KUWA JAMAA ANAKOPESHA KWA SABABU AMESAJILI BIASHARA HIYO NA ANALIPA KODI YA SERIKALI KAMA KAWAIDA.
Petro E. Mselewa Njoo bingwa