Ukidaiwa ukashindwa kulipa ukapelekwa Mahakamani unaposomewa mashtaka ya madai mdaiwa akikana maana yake nini?

Akhsante kwa ufafanuzi
 
mimi nimefunguliwa kesi ya madai kituo cha railway na mpenzi wangu baada ya kuachana je ipoje kisheria hiyo wakuu
 
Kuna kesi kama hii na hakimu anashinikiza mkataba ufuatwe ili mdaiwa alipe kiasi alichokopa na riba juu
 
Watu wa musoma na biashara zenu za kipumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…