Pengine kuna technicality kaiona na anataka kuiexploit mfano upatu au kukopeshana uraiani hakutambuliki kisheria sasa huyu mtu akala hela kutoka kwenye upatu au kwa mtu aliyemkopesha.
Akifika mahakamani anaweza akakana, hata kama ukionyesha mkataba hiyo ni kwakua sheria inasema kua anayetakiwa kukopesha ni taasisi ya fedha na hata mhifadhi fedha ni benki hivyo hata huo mkataba ni batili kutokana na kua umevunja sheria.