Sio huko tuu ata kwenye majumba yetu yakiwa mogofu watu waliyafanyia vituko ,pia nyumbani unaacha house girl na house boys wanaweza kukunjana popote na hayo maroho yakakuingiaHaijalishi uoo kikazi ama unaenda kusalimia familia bdugu jamaa ba marafikii
hii n kukujuza tyu ukienda Lodge guest zozote kabla ya kulala sali
ndugu zile Lodge zina mambo mengi sana na kabla ujalala kuna mtu alitoka hapo
na pengine mfanya usafi angekwambia akiyokutana nayoo hata chumban usingelala
humoohumo yanafanyika uzinzi ufiraji na uchafu kama woteee
hii haijalishi n mtumishi wa Mungu nakujulisha wanapoondoka wale wazinzi wafiraaaa huwaa rohooo zinabakia mle ndani
ndioo maana unashangaa mkeo kaenda kikazi kurudi gafla unamkuta yuko busy na Kingston dar kwa chat
sio yeyey pale alipofikia akalala alikutana na mwehu katoka kugonga bao 3 plus akaacha maroho xake wale wachaga wananielewa zaidi
kukulinda haya maroho yanasafiri pia kwa watoto usipopambana nayo mapema imekula kwa wanaoooo
hotel Lodge guest ndugu ukiingia tu tamka neno kwa Mungu wako ujiokoe we na kizazi chakoo
asbh njema
Hii haujabold wala kuandika kwa herufi kubwaAsubuhi njema
JoanahPdidy siku zote huwa unafyatua nyuzi nyingi namna hii ama ni siku hizi tu?
Manake nimezoea kukuona kwenye ule uzi wetu tu
Chura Kiziwi Juzi tu hapo si ulikua Katavi? Emu acha kutupangaNakubaliana na wewe kabisa.
Niliwahi kwenda Katavi kikazi na ilibidi kulala lodge.
Nilipoingia chumbani tu kwenye hiyo lodge nilihisi kama kusisimkwa na mwili ambapo kiuhalisia sikuweza kuelewa ni kwa nini lakini pia nafasi yangu ilikataa kabisa kulala mule ndani. Nilimuita muhudumu nikamwambia anibadilishie chumba. Kuuliza sababu nikamwambia sijakipenda tu kile chumba. Nikapewa chumba kingine.
Baada ya siku mbili nilipokuwa naondoka niikuwa napiga stori na yule muhudumu wakati nasubiria usafiri. Yule dada akaniambia kaka inaelekea una imani kubwa sana na Mungu wako, nikamuuliza sababu ya kusema hivyo; Jibu lake ndio lilinichosha kabisa. Akasema mwenye lodge huwa kila baada ya muda anakuja kufanya matambiko hapo lodge kwake na kile chumba nilichokikataa ndio huwa anakitumia zaidi.
Yule dada aliniambia kuwa ilishatokea mara mbili kwa wateja kukutwa wamefariki kwenye chumba hicho bila ya sababu za msingi na wakiwa peke yao.
Na sharti kubwa la mwenye lodge ni kuwa hicho kiwe ndio chumba cha kwanza kupewa mteja akija hata kama vingine vipo vitupu.
Binadamu huwa tunajisahau sana ila kuna mambo Mungu anatuepusha nayo bila hata ya sisi wenyewe kujua.
CHAI.Nakubaliana na wewe kabisa.
Niliwahi kwenda Katavi kikazi na ilibidi kulala lodge.
Nilipoingia chumbani tu kwenye hiyo lodge nilihisi kama kusisimkwa na mwili ambapo kiuhalisia sikuweza kuelewa ni kwa nini lakini pia nafasi yangu ilikataa kabisa kulala mule ndani. Nilimuita muhudumu nikamwambia anibadilishie chumba. Kuuliza sababu nikamwambia sijakipenda tu kile chumba. Nikapewa chumba kingine.
Baada ya siku mbili nilipokuwa naondoka niikuwa napiga stori na yule muhudumu wakati nasubiria usafiri. Yule dada akaniambia kaka inaelekea una imani kubwa sana na Mungu wako, nikamuuliza sababu ya kusema hivyo; Jibu lake ndio lilinichosha kabisa. Akasema mwenye lodge huwa kila baada ya muda anakuja kufanya matambiko hapo lodge kwake na kile chumba nilichokikataa ndio huwa anakitumia zaidi.
Yule dada aliniambia kuwa ilishatokea mara mbili kwa wateja kukutwa wamefariki kwenye chumba hicho bila ya sababu za msingi na wakiwa peke yao.
Na sharti kubwa la mwenye lodge ni kuwa hicho kiwe ndio chumba cha kwanza kupewa mteja akija hata kama vingine vipo vitupu.
Binadamu huwa tunajisahau sana ila kuna mambo Mungu anatuepusha nayo bila hata ya sisi wenyewe kujua. Pengine ningeishia kuwa kafara kama ningelala humo.