Ukienda kwenye guest au lodge yoyote usilale bila kuomba

Hakuna kitanda chochote cha hotel au loji ambacho hakijafanyiwa uzinzi so unaweza ukaondoka na maroho ya uzinzi ukawa mzinifu kuliko kwa tabia usiyo nayo awali
Mkuu unaweza nieleza uhusiano kati ya roho ya uzinifu na tabia ya mtu binafsi
 
Pdidy siku zote huwa unafyatua nyuzi nyingi namna hii ama ni siku hizi tu?
Manake nimezoea kukuona kwenye ule uzi wetu tu
Hujui JF siku hizi inalipa kupitia viewers, engagement au activity jam yako 😢!!.
 
Yes watu wanaacha mambo yao guest jkiwa mwepesi unayakumba,
 
Anapaswa kuwa na Imani ya MUUMBA wako wakitaka kukuua wanatangulia wao

Siyo guest tu hata nyumba za kupanga, hata chakula, hata nyumbani kwako cha msingi uwe na Imani na uwezo wa kuwasiliana na MUUMBA wako
Umesema kweli ndugu. Siku hizi ushirikina ni kila mahali. Biashara nyingi kuanzia kuuza vyakula, nyumba za kupanga ni mwendo wa ushirikina tu. Ni vizuri kuwa unamwomba Mungu kila wakati hakuepushe na hayo.
 
Mkuu unaweza nieleza uhusiano kati ya roho ya uzinifu na tabia ya mtu binafsi
Tabia ya mtu ni kiwakilishi cha nguvu ya msukumo iliyo ndani mwa mtu thus watu hawafanani tabia.
Tabia ukaa kwenye damu thus hata mikosi ukupata ukilala na mtu mwenye mikosi
 
As long as the room is clean, the bed is clean, sheets are clean.. I dont care
 
Kuna broo wangu mmoja alisafiri toka dsm kwenda mwanza sasa akafikia Lodge moja ipo maeneo ya mkolani kama sio buhongwa sasa kufika pale ile logde kamkuta mlizi tu ilikua mida ya saa kumi na mbili jion na pako kimya mazingira makimya sana akakaribishwa ma mlinzi.
Kuingia ndani anakuta kuna utulivu wa hali ya juu yaani hakuna hata mgeni aliyefika..akalipia kuingia ndani chumbani nywele zikamsisimuka mpaka saa tatu usiku lodge yupo alone tu hakuna heka heka za watu..
Basi akasali akaingia kulala ile imefika saa tisa za usiku akahisi kama kuna hali imebadilika mule ndani mara anasikia uzito wa mwili kama anakandamizwa na kukabwa na ananyanyuliwa juu akawa anasali kimoyo moyo mara akatamka kwa jina la Yesu hali ile ikapotea hakulala tena mpaka kunakucha.
Kuja kumuliza mlinzi mlinzi anasema ni kweli huwa kuna mambo humo kwenye lodge mwenye lodge aliweka madude yake kama mtu mdhaifu kiimani anatolewa kafara..kuna watu walishafia humo.

Mtoa maada upo 100% sahihi.
 
Ila hujasema katika hali na mazingira yapi.
 
Mkuuunnilienda kusafisha gofu langu Moja mwakajuxi KABLA ya kumalixia condom nilizokutana nazoo

Nilijua kwann kulankitaka kujenga nakata tamaaa

Yan usione magofu yanajazana mambo ya ndaniyake yanatufunga kuyamalizia
 
Aliendela kulala keshoyake ama alihama loh
 
mimi toka 2020 na ujanja wotee zile sherehe za December moshi nikienda nalala.lodge na nalipia nikiwa hapa kabisa

MMzee alibahatika kujenga nym.ba ya vyumba 10+ hivi ndugu hata wakija moshi wamerhusiwa kulala lakn awaendi mpaka sherehe

Sikukuu moja nikaenda 2019 kufika nkalala tumejazana kama wote wa babamkubwa mdogo

mmh usiku tena nishaweka mbege na konyagi kichwan nkaanzahisi mtu ananikandamiza yaan mwili ulikuwa soon kuseparate na roho nkaita Yesu Yesuu nsaidie ndugu wa vyumba vingine wakaamka wotee nn pdidy nkawambia naomba maji

.nkaanza kuelezea ukumbuke. Kwetu hapo naondokaje niache ndugu sikulala mpaka asbh

Nkaenda lodge moja nkalipa siku nzima nkalala mpaka mchna poa kabisaaaaa

Saa tatu nkaaga ntarudi nkaenda nyumban kulala kufika sabaa balaaa wa vyumba vingine wanalia heee na mm yakaanza kulipuka kama nakabwaa aisee sitaki kukumbuka

Nkachukua usafiri usiku ule nkaenda himo highway bar mpaka saa 12 nkarudi lodge....

Nxtyday n xmass akapiga ndugu mmoja usinywe pombe utakayopewa wala supu yoyote pls nkasema
👌

Nkahudhuria nikajilinda usiku sikuaga nkachapa lapa na jamaa fulani ndugu nao gafla tuko bar napigjwa na wazee wa kule vipi mbona ujatuaga umeondoka umetuachaje mmmh nkawambia natakiwa kazini kufika marangu nkashuka nkalala lodge...


Jamaa walioendeleaaaa kwenda dar siri yao. Infact walikoswa koswa kuanzia karibu na same na same yenyewe wakaenda kutulizwa kabuku porini huko akaondoka mmoja[rip]br

Napigiwa simu na wazee wwlewale nikapokea uncle ukoo OK nkajibu nimelala eeeh wapi nkajibu moshi mjini mmh nn tena akasema mbona wenzio walioondoka wamepata ajali hukwenda nao nkamwambia hapana nilishuka wakakata simu n

Nkapigia ndugu wengine waliokwenye gari nkapewa msiba na majeraha aisee sio tu lodge hata zile nyumba mnajenga huko vijijini mkienda kuzilalia mjipange mzipige maombi woiiiii

Toka sikuhio nafika 22dec nakaalodge 24 nasalimia naaga naenda moshi mjini kumbe marangu asbh nadamkia masherehe yao yaaan huko hata maji ya kunawa nanawa na kilimanjaro yangu kunywa yangu

Na nikifika kiatu cha kuiia nava kushoto n vv

Nikiondoka siagiii nikifika barabaran nazima simu mpaka nifike dar loh
 
Reactions: _ly
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…