ukifa bila kupata mtoto/watoto utakuwa na wewe ni kibudu

ukifa bila kupata mtoto/watoto utakuwa na wewe ni kibudu

Tony Gwanco

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2013
Posts
5,913
Reaction score
1,215
wana jf,tunabishania kuchinja tu.baada ya kupewa maelezo na mzee wangu mmoja nikaenda kwenye kamusi nikakuta maana ya kibudu.1.mnyama alikufa bila kuchinjwa,mzoga,nyamafu anayeliwa.2.kufa bila kuacha mtoto. kwahiyo fanya yote ila ukifa bila mtoto !!!
 
We mwenyewe ulicho kipost umekielewa kweli? Me naona umechanganya mambo mawili tofauti kabisa.
 
Back
Top Bottom