Ukifa leo wanaokutegemea bado wataishi tu, jijali acha kujali wengine!

Ukifa leo wanaokutegemea bado wataishi tu, jijali acha kujali wengine!

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Kumekuwa na tabia za watu kujiona wanategemewa sana. Watu hawa hawafanyi maendeleo yeyote wala kujijali wao kila siku ni kutunza wenzao na kubaiki meza kwa kujaza bia, wanapaswa kujua, hata wakifa leo hao wategemezi wataishi.

Mtu anakwambai mtoto wa mama mdogo, shangazi, babu, sijui rafiki, kufa uone kama hawataishi!
 
Back
Top Bottom