Ukifahamu kuhusu "Prussian Education System" , utaelewa kwanini Likud nasema haifai watanzania kulipia mamilioni EMs

Ukifahamu kuhusu "Prussian Education System" , utaelewa kwanini Likud nasema haifai watanzania kulipia mamilioni EMs

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Nchi nyingi duniani zinafuata mfumo wa Elimu wa *Prussian Education System".

Tanzania pia tunafuata mfumo huo.

Hata hivyo nchi nyingi Sasa hasa zilizo endelea zimesha achana na mfumo huu.
Katika baadhi ya nchi hizo mfumo huu unatumika sambamba na mifumo / mitaala mingine mfano mtaala wa Cambridge.

Katika nchi hizo, Prussian Education System hutumika kwenye shule za Public na huwa ni bure ilihali mfumo wa Cambridge hulipiwa mamilioni.


Cha ajabu Sasa, Tanzania Kwa sababu watu wengi ni hawana uelewa wanajistress kulipia mamilioni kwenye shule za EMs ambazo zinafuata mfumo wa " Prussian Education System"


Ni umbumbumbu mkubwa sana Kwa Mtanzania masikini anae ishi Kwa kuunga unga, kujistress kulipia mamilioni kwenye shule za EMs ambazo zinatumia mfumo wa Prussian Education System.

Watu hawa wanazidiwa maarifa na wazazi wanao somesha Kayumba Kwa sababu Kayumba hawalipi hayo mamilioni na end product ni ile ile.

Shule pekee unayo paswa kulipia mamilioni ni shule inayo fuata mtaala wa Cambridge ambazo ada Yake ni kuanzia Dola elfu 16 mpaka 30 Kwa mwaka.


Google Prussian Education System. Soma vitabu vilivyo fanyiwa extensive research kuhusu Prussian Education System halafu ujione namna ambavyo huhitaji kujistress kulipa mamilioni kwenye hamna.
 
Kama taifa mliamua wenyewe kubinafsisha kila kitu, nafaham baadhi ya nchi elimu ni public tu, hakuna private schools na serikali imewekeza sana kwa shule zake hakuna wa kulalamika.

Hapa kwetu mlishaamua kuwa na private institutions, banks, nk na serikali kwa kiwango kikubwa imajivua kutoa huduma, unategemea huduma bora kweli?

Wewe jamaa nadhani utakuwa na tatizo tu mahali, kampeni yako haiwezi kufanya kazi hata ufanyeje.
 
Kama taifa mliamua wenyewe kubinafsisha kila kitu, nafaham baadhi ya nchi elimu ni public tu, hakuna private schools na serikali imewekeza sana kwa shule zake hakuna wa kulalamika.

Hapa kwetu mlishaamua kuwa na private institutions, banks, nk na serikali kwa kiwango kikubwa imajivua kutoa huduma, unategemea huduma bora kweli?

Wewe jamaa nadhani utakuwa na tatizo tu mahali, kampeni yako haiwezi kufanya kazi hata ufanyeje.
Sio kampeni Yake ndio uhalisia ulivyo mtaani watu wanarudisha wao Kayumba na hata JF hawaijui ni wewe tu ndio umekaza Shingo ila watu wote wameshaujua ukweli
 
Nchi nyingi duniani zinafuata mfumo wa Elimu wa *Prussian Education System".

Tanzania pia tunafuata mfumo huo.

Hata hivyo nchi nyingi Sasa hasa zilizo endelea zimesha achana na mfumo huu.
Katika baadhi ya nchi hizo hizo mfumo huu unatumika sambamba mifumo / mitaala mingine mfano mtaala wa Cambridge.

Katika nchi hizo, Prussian Education System hutumika kwenye shule za Public na huwa ni bure ilihali mfumo wa Cambridge hulipiwa mamilioni.


Cha ajabu Sasa, Tanzania Kwa sababu watu wengi ni hawana uelewa wanajistress kulipia mamilioni kwenye shule za EMs ambazo zinafuata mfumo wa " Prussian Education System"


Ni changamoto kubwa sana Kwa Mtanzania masikini anae ishi Kwa kuunga unga kujistress kulipia mamilioni kwenye shule za EMs ambazo mfumo zinao tumia ni Prussian Education System.

Watu hawa wanazidiwa maarifa na wazazi wanao somesha Kayumba Kwa sababu Kayumba hawalipi hayo mamilioni na end product ni ile ile.

Shule pekee unayo paswa kulipia mamilioni ni shule inayo fuata mtaala WA Cambridge ambazo ada Yake ni kuanzia Dola elfu 16 mpaka 30 Kwa mwaka.


Google Prussian Education System. Soma vitabu vilivyo fanyiwa extensive research kuhusu Prussian Education System halafu ujione namna huhitaji kujistress kulipa mamilioni kwenye hamna.
Asante Sana mkuu Kwa kuzidi kutufungua
 
Nchi nyingi duniani zinafuata mfumo wa Elimu wa *Prussian Education System".

Tanzania pia tunafuata mfumo huo.

Hata hivyo nchi nyingi Sasa hasa zilizo endelea zimesha achana na mfumo huu.
Katika baadhi ya nchi hizo hizo mfumo huu unatumika sambamba mifumo / mitaala mingine mfano mtaala wa Cambridge.

Katika nchi hizo, Prussian Education System hutumika kwenye shule za Public na huwa ni bure ilihali mfumo wa Cambridge hulipiwa mamilioni.


Cha ajabu Sasa, Tanzania Kwa sababu watu wengi ni hawana uelewa wanajistress kulipia mamilioni kwenye shule za EMs ambazo zinafuata mfumo wa " Prussian Education System"


Ni changamoto kubwa sana Kwa Mtanzania masikini anae ishi Kwa kuunga unga kujistress kulipia mamilioni kwenye shule za EMs ambazo mfumo zinao tumia ni Prussian Education System.

Watu hawa wanazidiwa maarifa na wazazi wanao somesha Kayumba Kwa sababu Kayumba hawalipi hayo mamilioni na end product ni ile ile.

Shule pekee unayo paswa kulipia mamilioni ni shule inayo fuata mtaala WA Cambridge ambazo ada Yake ni kuanzia Dola elfu 16 mpaka 30 Kwa mwaka.


Google Prussian Education System. Soma vitabu vilivyo fanyiwa extensive research kuhusu Prussian Education System halafu ujione namna huhitaji kujistress kulipa mamilioni kwenye hamna.
Shida ni lugha ya kufundishia, sisi hatutaki watoto wetu washindwe kujichanganya Duniani kwasababu ya Kiswahili chao huko Kayumba
 
Prussians were ahead of their time. It is the University of Berlin were Research was first introduced as part of undergraduate teaching curriculum. Then the entire world emulated the Germans.​
 
Hapa naona IQ (10) tupu inaongea, wewe ndo tunaweza kukaa meza moja hata kwenye kutafuta solution kwenye matatizo ya nchi yetu mana nafatilia sana thread zako xin mtu wa mkumbo unaongozwa na kichwa chako. ulichokisema ni kweli japo nilikuwa sifahamu hyo aina ya mitaala ila nilkuwa najiulza swali. mfano mimi nilitoka saint kayumba ya ndani kabisa nikachaguliwa kwenda vipaji maalum kwa mara ya kwanza hapo shuleni na ya mwsho kama sikosei na nikaenda kukutana na haohao wa english medium sasa mbona ni vilaza sana tena sio kwenye elimu tu mambo kibao nikajiuliza hyo faida ya kuwekeza pesa nyingi hvo af end product ndo unapata toto goigoi pia weak mindset si bora uanzishe hata mradi wa kufuga "karunguyeye' kwa ajili ya kuuzia wachina wanaozurura na wale wa mabonanza, tunahitaji mkombozi na bado hajapatika so kwa kipindi binadamu tumia akili yako ya kuzaliwa utapata majawabu mengi sana, kwanza EMs ni taasisi za kibiashara we angalia hata namna ya matangazo yao utaelewa ktu.
WASALAAM!!
 
Tatizo linaanza watanzania wengi ni wajinga mkuu( mzazi yupo ajinyime kwaajili ya ada ya shule ya mtoto) wakati matokeo ni yaleyale tu.

Sababu nyingine ni kutaka MBULI( SIFA)

Hizi English medium zipo kibiashara zaidi. Hata taasisi za kidini nimegundua ni fursa nao wanazidi kuhamasisha waumini wao.

Tanzania ukiwa na akili unapiga pesa sana maana wazazi wengi ni wajinga.
 
Kwani mkuu mbona unahangaika sana na hii ishu?

Wewe si ulishahamisha watoto wako kupeleka kwa kayumba mbona sasa kama unatapa tapa? Si uendelee na maisha yako?

Yaani kila siku mauzi haya haya, kwani kuna mtu kakulazimisha uwarudishe EM?

Yaaani unahangaika kuliko wenye watoto EM! Nadhani so long as hawajakuomba msaada wa ada wala ushauri,we potezea tu
 
Shida ni lugha ya kufundishia, sisi hatutaki watoto wetu washindwe kujichanganya Duniani kwasababu ya Kiswahili chao huko Kayumba
Mnataka waanze kutazama video za mashoga Huko " duniani" Sio?
 
📌WAZAZI ACHENI KUPOTEZA HELA,HAO WATOTO WENU WA "THIS","THAT" HAWANA KITU WANAPATA KUTOKA EMS ZAIDI YA KUTOKA NA BROCKEN ENGLISH!!!

📌ENGLISH MEDIUM SCHOOLS HAWAFUNDISHI KINGEREZA BADALA YAKE WANAWAKARIRISHA WATOTO WENU WAPENDWA KUTAMKA KWA KINGEREZA(WANAWAFUNDISHA MENTIONING).

KWELI HIYO NDO HUDUMA UNAYOLIPIA 2MILLIONS KWA MWAKA ONENI AIBU BASI😂😂😂😂LAFU AKIRUDI MTAANI ANAANZA KUONGEA KAMA HARMONIZE( KINGEREZA CHA WAMAREKANI WEUSI🤣)NYIE MNAONA MAMBO SI NDO HAYA MWENETU ANAJUA KIINGLISH🙌🙌

AMKENI MNAIBIWA KWA MGONGO WA KINGEREZA FEKI NA UFAULU WA KUKARIRISHWA MASWALI NA MAJIBU NA KUFANYIWA MTIHANI.

📌HIZO HELA WEKEZA KWENYE HISA,MASHAMBA,VIWANJA PRIME AREAS( LOW DENSITY),MTOTO AKIFIKA SEKONDARI MPELEKE ANGALAU SOUTH,INDIA AU MALAYSIA AKASOME ELIMU YA DUNIA!!!

📌FOCUS IANZE KWA KUWEKEZA PESA ZA KUJA KUWAPA MITAJI NA URITHI WA MALI KWA HAO AKINA JUNIOR WENU.KUPOTEZA MAMILIONI HUKO EMS KISHA ANAKUJA KUGOMBANIA INTERVIEW ZA TAMISEMI NI "UKICHAA".

MABASI YA NJANO NA TABU ZA TAMISEMI WAPI NA WAPI ACHIENI KAYUMBA HUKO TAMISEMI NDO MAZINGIRA YAO TANGU WADOGO.NYIE WAZUNGU PORI😄😄😄ANZISHENI MIRADI!!!
 
Back
Top Bottom