Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,148
- 2,815
Maisha mpaka mtu kufanikiwa anakuwa amepitia mambo mengi kuna stages , kuchekwa , kupuuzwa , kusemwa vibaya , kudharauliwa .
Ukiona mtu ana roho mbaya haijaja bure amefundishwa na walimwengu wenyewe. Wanadamu ni wakatili sana kwa mtu asiye na kitu .
Ukifanikiwa kuyapata maisha vimba , Kuwavimbia walio kudharau ni ruksa kisheria . Ndioomaana hata Mungu aliwawekea kufuli waliomcheka na kumdharau Nuhu wakati anajenga safina , hakuna aliyeingia
Ukiona mtu ana roho mbaya haijaja bure amefundishwa na walimwengu wenyewe. Wanadamu ni wakatili sana kwa mtu asiye na kitu .
Ukifanikiwa kuyapata maisha vimba , Kuwavimbia walio kudharau ni ruksa kisheria . Ndioomaana hata Mungu aliwawekea kufuli waliomcheka na kumdharau Nuhu wakati anajenga safina , hakuna aliyeingia