Ukifanikiwa ndio utajua watu ni vigeu geu, waliokukimbia ndio wanakukimbilia

Ukifanikiwa ndio utajua watu ni vigeu geu, waliokukimbia ndio wanakukimbilia

Mwanasayansi Kalivubha

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2024
Posts
344
Reaction score
926
UKIFANIKIWA NDIO UTAJUA WATU NI VIGEU GEU, WALIOKUKIMBIA NDIO WANAKUKIMBILIA

Kama uliwahi kuachwa kwa dharau na maneno makali hata usiumize kichwa sana kujiona hufai , siku UKIFANIKIWA kiuchumi watas ahau kama walikutamkia hayo.

Kama hupigiwi simu na hata ukiwapigia hawamakiniki na wewe hata usijali kuna muda wao ndio watakuwa wanakulaumu kwanini hupokei simu zao.

Kama unaona kila mtu anakukimbia hata baadhi ya ndugu zako vivyo hivyo hata usijali ipo siku watakukimbilia na wataona unawakimbia.

WATU KI ASILI NI VIGEU GEU.

Hata unayemuona si kigeugeu jua huyo ana uwezo wa kudhibiti hisia hizo na ndivyo inavyotakiwa iwe ila ki kawaida binaadamu leo wakikumbia basi kesho watakukimbilia ukiwa na mafanikio ya kiuchumi na tena watajifanya kusahau yote waliyokutenda.

Kuwa makini sana na mtu ambaye ana uwezo mdogo wa kudhibiti ukigeugeu wake kwa sababu atakuwa anakuja kwako kulingana na mabadiliko yako kiuchumi yalivyo

#Mwanasayansi Saul kalivubha
#fikia ndoto zako.
 
Haaahaa, 😂 🤣 unawapigia simu WANAKUULIZA NANI AMEKUPA NAMBA YANGU.

UKIFANIKIWA WATAKUPIGIA SIMU UKIWAULIZA WEWE NI NANI? WANAKUJIBU INA MAANA UMEFUTA NAMBA YANGU.

Binadamu: unaweza ukawa unaogelea kwenye maji alafu waka kuambia unawatimulia vumbi 😊😊
 
UKIFANIKIWA NDIO UTAJUA WATU NI VIGEU GEU, WALIOKUKIMBIA NDIO WANAKUKIMBILIA

Kama uliwahi kuachwa kwa dharau na maneno makali hata usiumize kichwa sana kujiona hufai , siku UKIFANIKIWA kiuchumi watas ahau kama walikutamkia hayo.

Kama hupigiwi simu na hata ukiwapigia hawamakiniki na wewe hata usijali kuna muda wao ndio watakuwa wanakulaumu kwanini hupokei simu zao.

Kama unaona kila mtu anakukimbia hata baadhi ya ndugu zako vivyo hivyo hata usijali ipo siku watakukimbilia na wataona unawakimbia.


WATU KI ASILI NI VIGEU GEU.

Hata unayemuona si kigeugeu jua huyo ana uwezo wa kudhibiti hisia hizo na ndivyo inavyotakiwa iwe ila ki kawaida binaadamu leo wakikumbia basi kesho watakukimbilia ukiwa na mafanikio ya kiuchumi na tena watajifanya kusahau yote waliyokutenda.

Kuwa makini sana na mtu ambaye ana uwezo mdogo wa kudhibiti ukigeugeu wake kwa sababu atakuwa anakuja kwako kulingana na mabadiliko yako kiuchumi yalivyo


#Mwanasayansi Saul kalivubha
#fikia ndoto zako.
Mtu pekee ambae hata kuacha daima ni Mungu aliyekuumba na mwanae Yesu. Wekeza kwao utakuja kuniambia
 
Tatizo kila binadamu anaposoma ujumbe kama huu hajiweki upande wa vigeugeu. Sasa hao vigeugeu ni kina nani?
 
Back
Top Bottom