Ukifanya Kazi hizi mwisho lazima ufe kwa ngoma (75%)

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
5,794
Reaction score
5,352
1.Mabaamedi na mameneja wao
2.Madereva tax
3.Vinyozi na wasusi wa kiume
4.Madj (except me)
5.Wanamuziki
mwisho wao kama si kufa kwa ukimwi au kuuliwa kwa kufumaniwa basi ni bahati yako. Najua zipo nyingi kwa saiz nimezikumbuka hizo
 
1.Mabaamedi na mameneja wao
2.Madereva tax
3.Vinyozi na wasusi wa kiume
4.Madj (except me)
5.Wanamuziki
mwisho wao kama si kufa kwa ukimwi au kuuliwa kwa kufumaniwa basi ni bahati yako. Najua zipo nyingi kwa saiz nimezikumbuka hizo
Kuna watu walishawhi uita ukimwi ugonjwa wa ndege, nadahani nawewe mawazo yako hayatofautiani sana na wao ila sema wao walipumbazika around seventiz,,
 

duh hadi presdent kumbee hahahaha umetisha mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…