GOSSO MZEKEZEKE
Senior Member
- Dec 13, 2013
- 180
- 204
Habari wanaJF.
Naomba kujua hivi proposal presentation inakuwaga na marks ngapi kiujumla? au marks huwa zinawekwa kwenye dissertation kwa ujumla na sio proposal peke yake, namaanisha marks zinatolewa baada ya kumaliza dissertation na sio kwamba propasal na disertaion zinakuwa na marks kila mmoja kivyake?
Aliye na uelewa anieleweshe? Hapa nazungumzia kwa waliosoma masters
Naomba kujua hivi proposal presentation inakuwaga na marks ngapi kiujumla? au marks huwa zinawekwa kwenye dissertation kwa ujumla na sio proposal peke yake, namaanisha marks zinatolewa baada ya kumaliza dissertation na sio kwamba propasal na disertaion zinakuwa na marks kila mmoja kivyake?
Aliye na uelewa anieleweshe? Hapa nazungumzia kwa waliosoma masters