Ukifika kileleni mishipa ya damu yote inafunguka. Damu unaweza ikatokea kwenye fizi ama kwenye kidonda.

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Utafiti unaonesha, mtu akifika kileleni, mwili wake unapatwa na Msukumo mkubwa wa damu hivyo sehemu zenye michubuko zinaweza kutoa damu.

Mfano.. kama unapiga maswaki na kutokwa na damu kwenye fizi, hivyo hivyo Ukifika ama kufikishwa kileleni lazima utokwe na damu kwenye fizi. Na kidonda hasa kibichi lazima kitoe damu.

Tahadhari kwa wale watu wa kissing na romance.

Mtu akikaribia kileleni mtoe kwenye mdomo wako. Utakunywa damu.
 
Pata ushauri wa daktari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…