Ukifuga kuku unakaribisha panya ambao nao hukaribisha nyoka kwenye makazi yako !

Ukifuga kuku unakaribisha panya ambao nao hukaribisha nyoka kwenye makazi yako !

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,587
Maisha ni changamoto sana.

Ukiwa mfugaji wa kuku nyumbani kwako unakaribisha panya kwa kasi sana kupitia vyakula vya kuku kama pumba, paraza ,uduvi , dagaa n.k !

Ukishaona tu kuna panya nyumbani kwako, nyoka wapo hapo hapo ndani kwako kwa ajili ya kitoweo (panya).

Ukifuga paka ili apambane na nyoka, kuku wako wataliwa muda wowote na panya.
 
Maisha ni changamoto sana.

Ukiwa mfugaji wa kuku nyumbani kwako unakaribisha panya kwa kasi sana kupitia vyakula vya kuku kama pumba, paraza ,uduvi , dagaa n.k !

Ukishaona tu kuna panya nyumbani kwako, nyoka wapo hapo hapo ndani kwako kwa ajili ya kitoweo (panya).

Ukifuga paka ili apambane na nyoka, kuku wako wataliwa muda wowote na panya.
Panya wa wapi hao wanaokula kuku mkuu...
 
Maisha ni changamoto sana.

Ukiwa mfugaji wa kuku nyumbani kwako unakaribisha panya kwa kasi sana kupitia vyakula vya kuku kama pumba, paraza ,uduvi , dagaa n.k !

Ukishaona tu kuna panya nyumbani kwako, nyoka wapo hapo hapo ndani kwako kwa ajili ya kitoweo (panya).

Ukifuga paka ili apambane na nyoka, kuku wako wataliwa muda wowote na panya.
Hongera, imara, waaa....haya sasa tueleze hadithi yako inatufundisha nini?
 
  • Thanks
Reactions: etb
Hongera, imara, waaa....haya sasa tueleze hadithi yako inatufundisha nini?
Isiyowezekana na wasiojulikana ni dugu moja.

Panya kamla kuku....hahahah! Haina tofauti kwa kufariki kwa kuishiwa pumzi kutoka na kulala sehemu inayovuja toka kwenye dali wakati wa mvua.
 
Shukrani mkuu mi nimepata kitu.... nafuga kuku sana tu cha msingi ni usalama tu wa mabanda yako
 
ukweli upo hivi, kuku anapokua eneo anauwezo wa kuhisi kiumbe wa hatari kwake na mwanadamu,unapofuga kuku jifunze kisikiliza saut zao na pind unapomsikia kiutofaut bas wahi haraka umwangalie kunasehem anapaangalia kwa akiwa kasima na shingo kanyoosha. Mahali kuku wa kienyeji pure yupo kuku atajitaid mpaka ujue kitu kibaya kilipo na nyoka ka ni mkubwa sana atapiga kelele akifata alipoenda ila hawa wadogo ukimkuta anammeza mwache. Usifuge kuku wa dar.
 
Nimefuga kuku na paka na huyu paka huwa analala kwenye store ya Chakula cha kuku au kwenye mabanda yeye mwenyewe,nachokifanya nampunguzia sana paka kumpa Chakula ili akawinde panya ...Nina muda mrefu sana kumwona panya.....
 
Kuku wa huku wanakula nyoka na panya.. Labda Kuku wa Dar
 
Maisha ni changamoto sana.

Ukiwa mfugaji wa kuku nyumbani kwako unakaribisha panya kwa kasi sana kupitia vyakula vya kuku kama pumba, paraza ,uduvi , dagaa n.k !

Ukishaona tu kuna panya nyumbani kwako, nyoka wapo hapo hapo ndani kwako kwa ajili ya kitoweo (panya).

Ukifuga paka ili apambane na nyoka, kuku wako wataliwa muda wowote na panya.
Hii inaitwa "mchana jua usiku wanga!"
 
Back
Top Bottom