A
Anonymous
Guest
Kituo Kikuu cha Polisi cha Kati Arusha ukipeleka malalamiko unataka kukata RB, wanakwambia “Karatasi ya kunukuu maelezo hatuna” kisha wanakupa moja wanakwambia katoe kopi tano ulete na ukanunue na faili la jalada.
Wakati wanakwambia hivyo wanakupa maelekezo ya kwenda Stationary ipo jirani ambapo kuto copy ni Shilingi 200.
Huu ni uonevu, mlalamikaji huchukuliwi maelezo mpaka ukalete kopi na faili, inamaana Serikali haihudumii vitu kama hivi au ni upigani ambao unafanyika ili hiyo Stationary ifanye biashara?
Wakati wanakwambia hivyo wanakupa maelekezo ya kwenda Stationary ipo jirani ambapo kuto copy ni Shilingi 200.
Huu ni uonevu, mlalamikaji huchukuliwi maelezo mpaka ukalete kopi na faili, inamaana Serikali haihudumii vitu kama hivi au ni upigani ambao unafanyika ili hiyo Stationary ifanye biashara?