Ukihukumiwa kifungo cha nyumbani wakati unaishi chumba cha kupanga

Ukihukumiwa kifungo cha nyumbani wakati unaishi chumba cha kupanga

kidadari

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
8,647
Reaction score
9,604
Endapo mtu atahukumiwa kifungo cha nyumbani na anaishi chumba cha kipanga hapo utekelezaji wa hukumu unakua je?
Mke/mume wanaruhusiwa kuishi kwenye hiyo nyumba au wanatolewa?
Mahitaji anakuhudumia nani kama kodi umeme chakula na maji?
Unapewa walinzi wa kukuzuia usitoke nyumbani au ni amri tuu?
 
Anakua anapata adhabu inayoitwa emotional pain pia hawezi kukutana na watu wake wa karibu, hawezi kwenda kwenye biashara zake, kujimwaga na mpenzi wake kwa hiyo ni full mateso japo hakuna anaekugusa ila cha moto utakiona.

Pia anakua kazuiwa kufanya zile shughuli zake alizokua akifanya awali.
 
Aisee nimependa mawazo yako. Hahaaa....sasa usiombe kodi imeisha na wewe pesa huna na mwnyenyumba anataka kukufukuza. Hapo huwezi kwenda hata mahakamani au polisi kwa sababu utakuwa umetoroka gereza la nyumbani hahaa
 
Anakua anapata adhabu inayoitwa emotional pain pia hawezi kukutana na watu wake wa karibu, hawezi kwenda kwenye biashara zake, kujimwaga na mpenzi wake kwa hiyo ni full mateso japo hakuna anaekugusa ila cha moto utakiona.

Pia anakua kazuiwa kufanya zile shughuli zake alizokua akifanya awali.
Sasa ukiziliwa nyumbani mke/mume na watoto wanatolewa kwenye hiyo nyumba?
Unakodishiwa watu wa kukupikia? Mahitaji yakiisha nani anashughulikia masuala kama umeme maji na kodi??
 
Aisee nimependa mawazo yako. Hahaaa....sasa usiombe kodi imeisha na wewe pesa huna na mwnyenyumba anataka kukufukuza. Hapo huwezi kwenda hata mahakamani au polisi kwa sababu utakuwa umetoroka gereza la nyumbani hahaa
Kwani unaambiwa usitoke nyumbani au unapewa walinzi wa kukuzuia usitoke?
 
Back
Top Bottom