Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️
Naam imesimama,
Namaanisha imesimama kiteknolojia na ugunduzi na utatuzi wa changamoto za binaadam za kila siku.
Ukisoma vitabu Dunia wakati inaumbwa haikuwa na (magari, pikipiki, saa, simu, radio, tv, engine, cherehani, nk.
Bali aliumbwa adam na hakupewa elimu ya namna ya kutatua changamoto zake za maisha ya kila siku.
Lakini cha ajabu na kushangaza ni kuwa hivi vitu vyote vilivyo leo hii ni kama pia vililetwa siku moja. Yaani (magari, pikipiki, saa, simu, radio, tv, engine, cherehani, nk.
Adam hana muendelezo tena (DUNIA IMESIMAMA) bali akili yake imeishia kwenye kuboresha na kuendeleza vile vile ambavyo katika historia vimo humo tokea miaka ya 1600s. Sina hakika alivigundua kweli kwa akili yake au Lah. Maana sioni tena matumizi mapya ya akili yake.
Hata ukichukuza bidhaa zinazozalishwa viwandani ukilinganisha vya zamani na vya sasa utagundua kuwa vya zamani vilitengenezwa kwa ubora na uimara wa hali ya juu.
Je ugunduzi wa project mpya ulifia wapi?
Au ni kweli kuna mahusiano ya moja kwa moja na viumbe vya sayari ya mbali?
Nb* kwenye bandiko langu nazingumzia vitu vipya na vifaa vipya, yaani kuwepo na ugunduzi hata wa vyanzo vya nishati vipya bila ya kuhusisha vyombo vya zamani,. Yaani gundua vitu bila kuhusisha engine, waya, petroli na dizeli, nk.
Naam imesimama,
Namaanisha imesimama kiteknolojia na ugunduzi na utatuzi wa changamoto za binaadam za kila siku.
Ukisoma vitabu Dunia wakati inaumbwa haikuwa na (magari, pikipiki, saa, simu, radio, tv, engine, cherehani, nk.
Bali aliumbwa adam na hakupewa elimu ya namna ya kutatua changamoto zake za maisha ya kila siku.
Lakini cha ajabu na kushangaza ni kuwa hivi vitu vyote vilivyo leo hii ni kama pia vililetwa siku moja. Yaani (magari, pikipiki, saa, simu, radio, tv, engine, cherehani, nk.
Adam hana muendelezo tena (DUNIA IMESIMAMA) bali akili yake imeishia kwenye kuboresha na kuendeleza vile vile ambavyo katika historia vimo humo tokea miaka ya 1600s. Sina hakika alivigundua kweli kwa akili yake au Lah. Maana sioni tena matumizi mapya ya akili yake.
Hata ukichukuza bidhaa zinazozalishwa viwandani ukilinganisha vya zamani na vya sasa utagundua kuwa vya zamani vilitengenezwa kwa ubora na uimara wa hali ya juu.
Je ugunduzi wa project mpya ulifia wapi?
Au ni kweli kuna mahusiano ya moja kwa moja na viumbe vya sayari ya mbali?
Nb* kwenye bandiko langu nazingumzia vitu vipya na vifaa vipya, yaani kuwepo na ugunduzi hata wa vyanzo vya nishati vipya bila ya kuhusisha vyombo vya zamani,. Yaani gundua vitu bila kuhusisha engine, waya, petroli na dizeli, nk.