Ukiisoma hii ni lazima uanzishe ubishi huko uliko...

Amicus Curiae

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2012
Posts
5,351
Reaction score
7,639
Eti Rais wa Nchi anatembea na Wallet ya kuhifadhia fedha? Ya nini sasa wkt kila anapokwenda anakuta kaandaliwa kila kitu...
 
Hahaha aya poa nimewasoma wadau, almanusura watu wapigane hapa mtaani kwetu wakibishana kuhusu Mh Rais kutembea na wallet!
 
yani madongo ya hii comment yanamwelekezea papaa JK wakat mtoa mada hajaspecify rais gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…