Ukiitegemea biashara yako mpya ikulishe, ikulipie kodi ya nyumba na kadhalika, jiandae kuanguka

Bishara yoyote inaweza kukutoa ukitumia akili vizuri. Najua kuna jamaa ana turnover ya 400M kwa mwaka kwa kuuza lollipop (Pipi za kulamba).
 
This is impressing.
 
Jamaa mbona ana point ya wazi mkuu? Alichomaanisha ni lazima uwe na primary business kabla ya kuanzisha secondary business. Uwe na kabiashara au source ya pesa ya kukuwezesha kuwa unakula na kuishi bila kuitegemea biashara mpya ambayo ndio umeianzisha tu!
 
Vipi kuhusu usimamizi wa biashara ukiwa muajiriwa? Wapo walioanguka kibiashara wakiwa waajiriwa na hawakuwa tegemezi wa biashara zoo ila changamoto kubwa ni usimamizi wa hizo biashara zao
Kingine lazma ujue hamna mtu yupo kwa ajili ya kukutengenezea wewe elf 50 halafu umpe sh.3000 kwa siku! Huyo mtu hayupo kwa hio inakupasa ubalance maslahi
 
Reactions: B51
Persistence ndio ngumu hasa kwa wabongo ambao anataka akifungua biashara ianze kuingiza faida baada ya miezi miwili tu 😂! Apate hela ya kuendea Dubai shopping matokeo yake zile faida za laki kwa siku hazionekani kama alivyofungwa mota anaamua kushut down business!
 
This is impressing.
Be inspired!.


Hiyo hapo juu ni Commission ya mwezi July!.

Hapo sijaweka za Voda ambazo direct hushukia kwangu.

It is a business that only made a 36k commission at first.

Baada ya makorokocho yote ikiwa kulipa wafanyakazi, kodi na kila kitu, 5 Million profit is a must.

Mind u, hata kazi bado sijaacha and I'm not planning to.
 
Nimefungua fremu ya viatu vya watoto na wanawake siku 8 sijauza hata pair 1, frame laki 2x 6 months!! Naona nyotanyota! Mzigo (gharama)1.5m, leseni+bills (bado sijapigia hesabu). Halafu utashangaa TRA sijui manispaa na ving'ora.
Marketing strategies zako zikoje mkuu? Biashara haiitaji ukimya biashara inahitaji "makelele" I mean kutangazwa usifungue biashara kinyonge..
 
Marketing strategies zako zikoje mkuu? Biashara haiitaji ukimya biashara inahitaji "makelele" I mean kutangazwa usifungue biashara kinyonge..
Viatu vya mtumba ukatangaze ITV? Fremu ipo uswazi nyomi Kama yote tatizo hela
 
Congrats mkuu, nina swali business yako ya uwakala ipo moja tu, au ipo zaid ya moja, nkiwa na maana je una sehemu mbali mbali umeweka ofisi ya uwakala?
 
Halafu bado kuna machuma ulete nao wanazengea zengea hapa kwenye tuduka twetu twa mabanzi
 
Congrats mkuu, nina swali business yako ya uwakala ipo moja tu, au ipo zaid ya moja, nkiwa na maana je una sehemu mbali mbali umeweka ofisi ya uwakala?
Hapana Mkuu!

Ni sehemu moja ila teller 4 tofauti.

Ahsante na Karibu!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…