Ukijua aibu za mwenzio hebu zipotezee tu usianze kuzisambaza

Ukijua aibu za mwenzio hebu zipotezee tu usianze kuzisambaza

The Lost Boy

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2020
Posts
248
Reaction score
311
Salamu wanajamvii.

Kila mtu ana mambo au aibu ambazo angependa zibaki kwake tu kwa maana zisijulikane kwa wengine.

AmakIkiwa siku siku utabahati Kusikia aibu ya mwenzako basi jizati ubakie nayo, Usianze kuisambaza kwa kila mtu

Leo utaona Sifa kusambaza iabu za watu kesho zako nazo zitasambazwa.

MAISHA HAYA YANA KUNGA
 
Salamu wanajamvii.

Kila mtu ana mambo au aibu ambazo angependa zibaki kwake tu kwa maana zisijulikane kwa wengine.

AmakIkiwa siku siku utabahati Kusikia aibu ya mwenzako basi jizati ubakie nayo, Usianze kuisambaza kwa kila mtu

Leo utaona Sifa kusambaza iabu za watu kesho zako nazo zitasambazwa.

MAISHA HAYA YANA KUNGA
Kibamia au shimo, au sio mkuu!, kwa sababu umaskini au utajiri hili ni la wengi. pambana maisha yaendelee
 
Yani mwenyewe kashindwa kutunza aibu zake sie ndo tutaweza?? 😹😹
Vipi una connection huko tusafishe macho?
 
Back
Top Bottom