Ukijua maana ya Taifa, Nchi na Serikali basi Utaelewa Tanzania ina Serikali Moja tu!

Ukijua maana ya Taifa, Nchi na Serikali basi Utaelewa Tanzania ina Serikali Moja tu!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nisingependa kukuchosha kwa kukuandikia notes bali wewe mwenyewe google ujifunze maana ya Taifa ( nation), Nchi( country) na Serikali ( government)

Ukichambua kimakini utagundua pale TANU na ASP zilipoungana tukawa na Utamaduni Mmoja wa kisiasa kimsingi hata Serikali ikawa ni Moja tu hii ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

SMZ ni sawa tu na TAMISEMI

Tunaunda Katiba Mpya nadhani hili litaeleweka Zaidi maana juzi nimemsikia Ismail Jussa akisema 2025 ACT inaingia madarakani na Serikali Tatu, sijajua anamaanisha nini

Ahsanteni 😂
 
Nisingependa kukuchosha kwa kukuandikia notes bali wewe mwenyewe google ujifunze maana ya Taifa ( nation), Nchi( country) na Serikali ( government)

Ukichambua kimakini utagundua pale TANU na ASP zilipoungana tukawa na Utamaduni Mmoja wa kisiasa kimsingi hata Serikali ikawa ni Moja tu hii ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

SMZ ni sawa tu na TAMISEMI

Tunaunda Katiba Mpya nadhani hili litaeleweka Zaidi maana juzi nimemsikia Ismail Jussa akisema 2025 ACT inaingia madarakani na Serikali Tatu, sijajua anamaanisha nini

Ahsanteni 😂
"Katika nchi za Afrika hakuna Serikali bali kuna Magenge ya Watu walioshika silaha na kupora rasilimaki za nchi ili kujinufaisha wao wenyewe binafsi pamoja na vibaraka wao."

Jonas Savimbi, aliyekuwa Mwanasiasa na Mwanaharakati wa mapinduzi nchini Angola
 
Nisingependa kukuchosha kwa kukuandikia notes bali wewe mwenyewe google ujifunze maana ya Taifa ( nation), Nchi( country) na Serikali ( government)

Ukichambua kimakini utagundua pale TANU na ASP zilipoungana tukawa na Utamaduni Mmoja wa kisiasa kimsingi hata Serikali ikawa ni Moja tu hii ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

SMZ ni sawa tu na TAMISEMI

Tunaunda Katiba Mpya nadhani hili litaeleweka Zaidi maana juzi nimemsikia Ismail Jussa akisema 2025 ACT inaingia madarakani na Serikali Tatu, sijajua anamaanisha nini

Ahsanteni 😂
Hivi huwa hamchoki kuidogosha Zanzibar?

Mnataka Wazanzibar wafanye nini ili muelewe kuwa Zanzibar ni nchi na Taifa?
2. Ina mipaka yake
2. Ina watu wake
3. Ina Rais wake
4. Ina Bunge lake
5. Ina magereza yake
6. Ina bendera yake
7. Ina wimbo wake wa Taifa
8. Ina mikoa na wilaya zake
9. Ina Baraza lake la mawaziri
10. Ina Jeshi lake
11. Ina Mwanasheria wake mkuu
12. Ina Jaji mkuu
13. Ina utamaduni wake
14. Ina viongozi wake.
15. Ina kila kitu kama ilivyo kwa nchi na mataifa mengine.
 
Hivi huwa hanchoki kuidogosha Zanzibar?

Mnataka Wazanzibar wafanye nini ili muelewe kuwa Zanzibar ni nchi na Taifa?
2. Ina mipaka yake
2. Ina watu wake
3. Ina Rais wake
4. Ina Bunge lake
5. Ina magereza yake
6. Ina bendera yake
7. Ina wimbo wake wa Taifa
8. Ina mikoa na wilaya zake
9. Ina Baraza lake la mawaziri
10. Ina Jeshi lake
11. Ina Mwanasheria wake mkuu
12. Ina Jaji mkuu
13. Ina utamaduni wake
14. Ina viongozi wake.
15. Ina kila kitu kama ilivyo kwa nchi na mataifa mengine.
Je, inatambuliwa UN, AU, SADC au Hata EAC?

Samahani lakini
 
Tanzania haijawahi kuwa Taifa bali Muungano. Mataifa ni Tanganyika na Zanzibar.

Ushirika wa Tanganyika na Zanzibar siyo Utaifa! Acheni kupotosha watoto!
Muungano wa mataifa Mawili na kuwa Taifa Moja
 
Mimi muungano niliuchukia kwasababu ya somo la CIVICs hii topiki ilikua ngumu kwangu na yenye notice nyingi。
 
Yaani Muungano uko hivi:-
Ukitazama toka nje mipaka Tanzania ni Nchi Moja (sovereign nation), ila ukitazama ukiwa ndani ya mipaka, Tanzania ni shirikisho la Nchi mbili (sovereign states).
Ila hii state ya Bara, inaweza kutawaliwa na Mtu kutoka state ya visiwani (Zanzibar).

Yaani kuuelewa vizuri Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni kama kutafuta kuelewa mwanamke anataka nini.

All in all, Muungano wetu ni imara na atakayefanya fyoko (as per JPM), atashughulikiwa.
 
Je, inatambuliwa UN, AU, SADC au Hata EAC?

Samahani lakini
Mkuu hayo ya kutambulika Kimataifa ni kama maigizo tu. Uhalisia ni yanayotendeka Zanzibar na siyo mitazamo ya wengine.

Isipotambulika Kimataifa itapungukiwa nini?

Ikitaka kufanya jambo la Kimataifa, itatumia mwamvuli wa Muungano, itaiamuru Tanzania ifanye inachokitaka.

Kwani hujui kuwa Katiba ya Zanzibar ndiyo yenye mamlaka Zanzibar kuizidi katiba ya Tanzania?
 
Hivi huwa hamchoki kuidogosha Zanzibar?

Mnataka Wazanzibar wafanye nini ili muelewe kuwa Zanzibar ni nchi na Taifa?
2. Ina mipaka yake
2. Ina watu wake
3. Ina Rais wake
4. Ina Bunge lake
5. Ina magereza yake
6. Ina bendera yake
7. Ina wimbo wake wa Taifa
8. Ina mikoa na wilaya zake
9. Ina Baraza lake la mawaziri
10. Ina Jeshi lake
11. Ina Mwanasheria wake mkuu
12. Ina Jaji mkuu
13. Ina utamaduni wake
14. Ina viongozi wake.
15. Ina kila kitu kama ilivyo kwa nchi na mataifa mengine.
Sijui wachapwe viboko hawa watanganyika wa kijani na manjano ndio wakubali Zenji ni taifa kamiri tena huru kabisa.
 
Back
Top Bottom