Namba 26
JF-Expert Member
- Oct 15, 2018
- 309
- 918
Kwa kawaida Binadamu ana Mambo Mengi sana ndani yake, kiasi kwamba hadi sasa tunavyovijua ni vichache mno kuliko tusivyovijua.
Leo Nitawaleteeni Funzo fulani kuhusu saa za mwisho mtu anakaribia kufa. Kwa Mara nyingi Watu wengi wanapokaribia kufa huwa na hali tofauti na ya nyuma, kama vile Ucheshi kuongezeka
Kutabiri mambo, uwezo wa kuaga wenzao, kulalama kwamba wanaona jitu, watu, shetani, mizimu kuwa wanakuja kuwachukua na nyinginezo. Mara nyingi mambo haya huwatokea watu siku au masaa ya mwisho wanapokuwa wanakaribia kuuacha mwili (Kufa).
Siri iliyojificha nyuma ya mambo haya yote ni ''Jicho Latu'' au kwa jina jingine naweza nikakwambia kuwa ni ''jicho La Roho''
Kwa kawaida Kila mtu ana jicho la tatu ila ni binadamu wachache sana ambao huweza kulicontrol jicho hilo kwenye maisha yao ya kila siku.
Walio Wengi huishi kwa Macho haya haya mawili tunayoyajua ambayo kwenye ulimwengu wa Roho macho haya ni sawa na upofu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo Nitawaleteeni Funzo fulani kuhusu saa za mwisho mtu anakaribia kufa. Kwa Mara nyingi Watu wengi wanapokaribia kufa huwa na hali tofauti na ya nyuma, kama vile Ucheshi kuongezeka
Kutabiri mambo, uwezo wa kuaga wenzao, kulalama kwamba wanaona jitu, watu, shetani, mizimu kuwa wanakuja kuwachukua na nyinginezo. Mara nyingi mambo haya huwatokea watu siku au masaa ya mwisho wanapokuwa wanakaribia kuuacha mwili (Kufa).
Siri iliyojificha nyuma ya mambo haya yote ni ''Jicho Latu'' au kwa jina jingine naweza nikakwambia kuwa ni ''jicho La Roho''
Kwa kawaida Kila mtu ana jicho la tatu ila ni binadamu wachache sana ambao huweza kulicontrol jicho hilo kwenye maisha yao ya kila siku.
Walio Wengi huishi kwa Macho haya haya mawili tunayoyajua ambayo kwenye ulimwengu wa Roho macho haya ni sawa na upofu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app