Kuna rafiki yangu alikatazwa kuoa mwanamke mwenye tabia kama hiyo, jamaa alipenda kufa ikabidi ajibebe mzima mzima na akaoa kwa nguvu. Mwaka mmoja wakapata mtoto, baada ya siku chache akagundua kuwa kuna jamaa mwingine naye anadai huyo mtoto ni wake. Jamaa akavumilia. Siku nyingi hazikupita demu katembea na rafiki wa mumewe na hata mume alipogundua huyo demu hakuacha na tayari wana ndoa ya kanisani, HADI KIFO! It's true and not a joke, na hadi leo wanaishi wote lakini ndoa imekuwa ndoano hivi sasa