"Ukikosa Kware mawindoni rudi na Bundi"

"Ukikosa Kware mawindoni rudi na Bundi"

RIGHT MARKER

Senior Member
Joined
Apr 30, 2018
Posts
129
Reaction score
473
Aliwahi kuandika mwana fasihi MBUNDA MSOKILE kwenye kitabu chake cha USIKU UTAKAPOKWISHA, kwamba; Ukikosa Kware mawindoni rudi na bundi.

• Msemo huu uwakumbushe wale ambao wanasubiri kazi za maofisini, hawataki kazi za juani.

• Msemo huu uwakumbushe wale ambao wanatafuta mchumba (mume/mke) mwenye kila kitu, hawataki mchumba wa kutafuta nae.

ZINGATIA: Ukikosa unachokitafuta, haraka sana chukua ulicholetewa.

ONGEZA: Je, msemo huu uwakumbushe akina nani?

RIGHT MARKER
Mhadhara wa 17
Dar es Salaam
 
Back
Top Bottom