CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Moja ya vitu vinavyo hitaji umakin wa kiwango cha juu kabisa ni location.
Na hii ndo sehemu watu wengi huwa hawaizingatii kabisa, Location ina mchango mkubwa mno kwenye kuimarisha biashara ya mtu.
Sasa utashangaa watu sijui huwa wanalazimishwa au hawana namna mtu anafungua biashara yake location ambayo unabaki kujiuliza maswali.
Ukikosa location sahihi bora usifungue biashara hiyo weka pesa benki au basi hakikisha biashara yako ina wateja maalumu.
Biashara nyingi zinazo fungwa sababu kubwa huwa ni location. Ni ngumu sana kuwa na location sahihi then ufunge labda uwe umekula mtaji.
Huwezi mfano kufungua mgahawa wa Chakula pale Kariakoo then ufunge labda uwe umeibiwa pesa yote ya mtaji, au mwenye nyumba anataka kubadilisha matumizi. Pale lazima watu wale tu.
Location zinaumiza sana watu na wengi hawazingatii kabisa hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hii ndo sehemu watu wengi huwa hawaizingatii kabisa, Location ina mchango mkubwa mno kwenye kuimarisha biashara ya mtu.
Sasa utashangaa watu sijui huwa wanalazimishwa au hawana namna mtu anafungua biashara yake location ambayo unabaki kujiuliza maswali.
Ukikosa location sahihi bora usifungue biashara hiyo weka pesa benki au basi hakikisha biashara yako ina wateja maalumu.
Biashara nyingi zinazo fungwa sababu kubwa huwa ni location. Ni ngumu sana kuwa na location sahihi then ufunge labda uwe umekula mtaji.
Huwezi mfano kufungua mgahawa wa Chakula pale Kariakoo then ufunge labda uwe umeibiwa pesa yote ya mtaji, au mwenye nyumba anataka kubadilisha matumizi. Pale lazima watu wale tu.
Location zinaumiza sana watu na wengi hawazingatii kabisa hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app