Maswala ya wivu tuweke kando jamani. Swala ni hivi kwenye wallet ya mpenzi wako kuna condom tatu ambazo walipewa kazini kwenye zile training za kuhusu ukimwi,zimekaa muda kweli kila ukipiga chabo unazikuta mara vaap umechungulia siku ya siku mbili zimetumika. Je utareact vipi?
Simpo. Na mimi nitanunua condoms tatu nitahakikisha kaziona then after sometime nitakata mbili nitatupa ili ibaki moja then nitahakikisha ameona.then nasubiri reaction yake.