Mi naokoa kwanza hiyo check maan a hiyo hela inaweza rudisha hivyo vingineMara Paaaap.. Umerudi zako home Unakuta Panya 6 (sita)
1. Panya wa kwanza anakula MsaaFu au Biblia
2. Panya wa Pili anakula Cheti cha Degree
3. Panya wa Tatu anakula Hati ya Nyumba
4. Panya wa Nne anakula Viza ya Kusafiria
5. Panya wa Tano anakula Cheti cha Ndoa
6. Panya wa Sita anakula Cheki ya Milioni 100
Swali Ni:-
Je! Utaanza kumuua Panya yupi?
.......
Sema ukweli aseee Rafiki
Sisi binadamu tuna vituko sana. Panya ni kiumbe cha MUNGU, amekiumba akakiamuru ili kiweze kuishi basi kile hata karatasi. Wewe unakiua sababu kimekula karatasi halafu utasema umekiua kumtetea MUNGU au neno lake . Kesho wakitokea wa imani tofauti wakachinja watu sababu ya kitabu Chao unawaona ni mashetani. Sasa hapo mna tofauti gani? Wote wauaji tu mnatoa roho za viumbe visivyo na hatia.Huyo anayeitafuna biblia nitamuua haraka mno….mengine hayo yatafuata
cheti kwanza mkuuMara Paaaap.. Umerudi zako home Unakuta Panya 6 (sita)
1. Panya wa kwanza anakula MsaaFu au Biblia
2. Panya wa Pili anakula Cheti cha Degree
3. Panya wa Tatu anakula Hati ya Nyumba
4. Panya wa Nne anakula Viza ya Kusafiria
5. Panya wa Tano anakula Cheti cha Ndoa
6. Panya wa Sita anakula Cheki ya Milioni 100
Swali Ni:-
Je! Utaanza kumuua Panya yupi?
.......
Sema ukweli aseee Rafiki