Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkNI KWELI.
Blood Sugar Levels:
What?
This is one of the serious side effects of pineapple. Pineapples have been found to heighten blood sugar levels. This obviously does pose complications.
How?
Pineapples are one of those fruits whose natural sugars are very high. And because of this, they elevate blood sugar levels in our body (2). Most fruits contain carbohydrates and these can also raise the blood sugar levels. ½ cup of pineapple has 15 grams of carbohydrates.
exactly.......mwili unaregulate abnomality yoyote blood sugar level.....kwa kiwango chochote kile unless tu huwe na matatzo kama hepatitis B au weakness ya aina yoyote kwenye mfumo wa liver......hivo huchangia hufanyaji kazi hafifu wa sugar regulation.Mwili wa binadamu umri mbwa na vitu viwili vinavyo regulate blood sugar. Insulin na colagon.
Sukari ikizidi kwenye damu ubongo Hypatia habari na insulin inaachiwa kwenye damu kuipunguza na sukari ukiwa chini inaongezwa.
Dada hujagusia kama sukari ya Nanasi ina madhara -ve ama?Mwili wa binadamu umeumbwa na vitu viwili vinavyo regulate blood sugar. Insulin na glucagone.
Sukari ikizidi kwenye damu ubongo hupata habari na insulin inaachiwa kwenye damu kuipunguza na sukari ukiwa chini glucagone huachiwa.
Sukari ya nanasi ni kama sukari nyingine yeyote ikizidi mwilini insulin inaipunguza, haya yote hufanyika automatically.Dada hujagusia kama sukari ya Nanasi ina madhara -ve ama?
Daah. Vitu vyote vitamu vina sumu, sijui kwa nini?Sukari ya nanasi ni kama sukari nyingine yeyote ikizidi mwilini insulin inaipunguza, haya yote hufanyika automatically.
hahahaMi najua kula nanasi kwa hitaji nafasi!
Kiswahili bhn...Nanasi kubwa la wastani???Naomba kujibiwa swali langu kwa sababu mimi huwa nakula kila ck nanasi moja kubwa la wasitani.
Naomba kujibiwa swali langu kwa sababu mimi huwa nakula kila ck nanasi moja kubwa la wasitani.
Unakula vipande vitano au mananasi mazima mazima matano?Mm nakulaga hata matano kwa sik kama ni kipindi cha msimu