Ukilaza Wangu: Makosa Kumi ya Serikali ya awamu ya nne

Ukilaza Wangu: Makosa Kumi ya Serikali ya awamu ya nne

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2012
Posts
2,977
Reaction score
1,897
1.kilimo kwanza badala ya tatizo la shule za kata.
2.Vitambulisho vya Taifa badala ya Hospital na madawa
3.Katiba badala ya mikopo ya wanafunzi
4.BVR badala ya tatizo la waalimu
5.Kigamboni bridge badala ya Kufufua viwanda
6.Gas badala ya makaa ya mawe kuzalisha umeme
7.Bomba la gas badala Reli ya kisasa
8.Kukodi Ndege Badala ya kununua ndege za serikali
9.Kuuza ardhi kwa kwa wawekezaji badala ya ubia na wananchi
10.operation tokomeza badala ya usalawa wa raia(kuajili askali wa kutosha)
 
Tukianza kulist hapa tutajaza list ya mamia kwa mamia
 
1.kilimo kwanza badala ya tatizo la shule za kata.
2.Vitambulisho vya Taifa badala ya Hospital na madawa
3.Katiba badala ya mikopo ya wanafunzi
4.BVR badala ya tatizo la waalimu
5.Kigamboni bridge badala ya Kufufua viwanda
6.Gas badala ya makaa ya mawe kuzalisha umeme
7.Bomba la gas badala Reli ya kisasa
8.Kukodi Ndege Badala ya kununua ndege za serikali
9.Kuuza ardhi kwa kwa wawekezaji badala ya ubia na wananchi
10.operation tokomeza badala ya usalawa wa raia(kuajili askali wa kutosha)
Mtoa mada umepungukiwa na akili ama ulitoroka milembe
 
Back
Top Bottom