Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Mwee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji134]Ulienda kusoma dada. Si ulitumwa na Mbeya nzima? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] wala usisikitike.
Unapajua sehemu gani sasa wewe? Si ajabu hata msalato hujawahi fika. Hata wine za kupima za Dom hujawahi kunywa [emoji23] dah
Stay tunedFaida unayo siku ukija Dar
Wozaa enjoy. Kuna watu ndio wanaingia club mida hii...Hiyo ndio ile ya kama waenda kisesa?
Hapa panaitwa 'Nachatia ndani ya blanket [emoji23]
Kesho location itasoma The Hub then Bill's river / kurudi kulala.
Unaanzaje kuijua nyerere square ukaacha kuijua t square?Mwee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji134]
Kusoma kwenyewe niikuwa zimamoto.
Hata sielewi Dodoma nimeondoka sipajui.
Msalato sijawahi fika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Napajua 7 7,square na ofisi za mabasi tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naogopa hata kuuliza.... naogopa kusikia jibu lake.
Ila wanakuwaga washenzi hawa sisi tuko tunaruka majoka tunalewa wao wamejifungia ndani wanatoka jasho usiku kucha.
Ogopa sana mtu mwenye starehe moja tu..... anaiover do
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naogopa hata kuuliza.... naogopa kusikia jibu lake.
Ila wanakuwaga washenzi hawa sisi tuko tunaruka majoka tunalewa wao wamejifungia ndani wanatoka jasho usiku kucha.
Ogopa sana mtu mwenye starehe moja tu..... anaiover do
Hata sielewiUnaanzaje kuijua nyerere square ukaacha kuijua t square?
Sahizi yeah umevuka ile sweet spot ya kungonoka under influence. Ulale tu usije ukatia aibu [emoji3][emoji23][emoji23]Hatari sana mi saa hizi hata ukinipa show Sina nnachoweza zaidi ya kulegeza jicho
Kula vyombo changia uchumi... makanisa hayalipi kodi ohoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Starehe yangu ni mapambio.
Yaani tutakesha tunaimba.
Hapa koo linaniwasha kesho nataka nivamie kanisa lolote nikaserebuke.
Sent using Jamii Forums mobile app
Please picha ya jicho lililolegeaHatari sana mi saa hizi hata ukinipa show Sina nnachoweza zaidi ya kulegeza jicho
Na kesho yake unakumbuka? [emoji23][emoji23][emoji23]Huwa nakuwa na confidence iliyopitiza plus ujasiri wa ajabu. Naweza hata mtongoza mamamkwe
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kula vyombo changia uchumi... makanisa hayalipi kodi ohoo
Wapo vizuri, ila ulaku wangu unaonaga wa waswanu ni tamu zaidi 😂Amin. Leo nlikuwa napiga mdudu pale collina. Unapasoma?
Saint Anne si ajabu ukakuta hatumii mdudu pia
View attachment 1874758
Unaweza ukanywa soda 19?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Nachangia uchumi kwa kunywa soda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waswanu anapika mdudu kumbe?! Nilienda nikageuzia mlangoni, niliyekuwa naye hakupapenda mazingira yale. Sijui mke wa mtu ah nisiwaze sana [emoji23][emoji23][emoji23]Wapo vizuri, ila ulaku wangu unaonaga wa waswanu ni tamu zaidi [emoji23]
SA inawezekana, ila simlaumu maana bado hajachelewa sana.
KheeeeMwee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji134]
Kusoma kwenyewe niikuwa zimamoto.
Hata sielewi Dodoma nimeondoka sipajui.
Msalato sijawahi fika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Napajua 7 7,square na ofisi za mabasi tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaweza ukanywa soda 19?
Soda sa 5000 tu humalizi. Kula vyombo wee
Stay tuned
Wapo vizuri, ila ulaku wangu unaonaga wa waswanu ni tamu zaidi [emoji23]
SA inawezekana, ila simlaumu maana bado hajachelewa sana.
Waswanu anapika mdudu kumbe?! Nilienda nikageuzia mlangoni, niliyekuwa naye hakupapenda mazingira yale. Sijui mke wa mtu ah nisiwaze sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Anna asije akajiroga akaingia kwenye ndoa kabla hajaexperience haya maisha.
Nyie watu[emoji38][emoji38][emoji38]Kheeee
Nikupe tu pole [emoji23]