richie ze best
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 600
- 1,023
Yaan na unaweka ahadi asubuh unaenda kutoa sadaka, zikiisha na wazo linayeyukaYani unamshukuru Mungu kwa vingi ndaniya wakati huo... kakujaalia uwezo wa kununua na afya njema kias cha kuweza kunywa uufaidi uumbaji wake. Lazma feeling ziende mbinguni tu
Hapo inabidi upandishie na vant kwa juu.Kabisa hapa mpaka niboost yani Ndo ntalewa
[emoji3526]
Tualikane mpendwa, natafuta kampani ya kuniamasisha kwenda church, mwaka wa saba huu sasa sijui hata mlango unakalia upande gani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Starehe yangu ni mapambio.
Yaani tutakesha tunaimba.
Hapa koo linaniwasha kesho nataka nivamie kanisa lolote nikaserebuke.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha yetu mafupi mno pia yamejaa tabu sio mbaya kujitoa ufahamu wakati mwingineKwa mishale tunayokwepa hapa duniani usipotumia kilevi utakufa mapema
Sasa unakua unalia kwanini mkuu? Kuna kitu unakua unakumbuka ama?😂 hizi pombe hazina adabu handsome mzima unaanza kupiga mayowe woii😂Mimi hua naanza kulia nikigida sana hasa nikipiga za kawaida then uniongezee k vant ntalia weee kama mtoto
Normal
Nna shemeji yangu mmoja hvi tukiwa tumetoka huwa ana tabia kama ni bia mnaenda sawa mkiagza zinakuja kama mlivyo so kama speed yako ndogo unajikuta mezani zimebaki bia zako tu wao wanaendlea na zaoUsidhani ni rahisi hivyo kujaza nzi kwenye meza yenye bia. Nakwambia hutoboi
Nina huyu sis wangu
Ijumaa kaninyweshaaaa, jumamosi nikaamka hoi. Jumamosi jioni call nyingine njoo sehemu flani nimeenda nikaleta uzungu wa kuagiza Kilimanjaro water.
Maji nikanywa na bia nikanywa vile vile. Dhamira niliyotoka nayo home ikavurugika.
Sasa nakwambia usikae meza moja na walevi kama we sio mtumiaji. Wako na convincing power Moja matata
Makanisa yalivyo mengi hivi unashindwa kuingia kanisa lolote!Tualikane mpendwa, natafuta kampani ya kuniamasisha kwenda church, mwaka wa saba huu sasa sijui hata mlango unakalia upande gani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nna shemeji yangu mmoja hvi tukiwa tumetoka huwa ana tabia kama ni bia mnaenda sawa mkiagza zinakuja kama mlivyo so kama speed yako ndogo unajikuta mezani zimebaki bia zako tu wao wanaendlea na zao
Kampani ya walevi sio kabisa ngumu sana kukataa kunywa unless wawe na uhakika kwamba unaumwa na hosptal walikupelka
[emoji23]hahahhahhahahahahahha nimecheka sana.....waliokua wanamshawishi wote wameyeyaa
......wapga vitu tuko macho
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Never say never Mama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawawezi kunishawishi maana mimi sijawahi kunywa.
Ngumu sana kunishawishiNever say never Mama
Usiseme hivyo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawawezi kunishawishi maana mimi sijawahi kunywa.
Kumbe unavichambua vinywaji kitaifa na kimataifa[emoji23][emoji23][emoji23]Usiseme hivyo.
Me nimeanza kunywa kimasihara sana, Kwenye sherehe ndugu yangu mmoja alikuwa anawekewa savanna na bro kwenye chupa ya soda mimi ndio nilikuwa natumwa. Kuna muda akanambia onja, we kuonja tamu [emoji23] [emoji23] baadae kichuo chuo nikawa sijifichi sana mpaka sasa mama anajua me nakunywa tu wine. Kumbeee
Unafikiri kushawishiwa ni kazi ww jitahd sana ukae nao mbali hao watuNgumu sana kunishawishi
Kumbe ni TBLUsiseme hivyo.
Me nimeanza kunywa kimasihara sana, Kwenye sherehe ndugu yangu mmoja alikuwa anawekewa savanna na bro kwenye chupa ya soda mimi ndio nilikuwa natumwa. Kuna muda akanambia onja, we kuonja tamu [emoji23] [emoji23] baadae kichuo chuo nikawa sijifichi sana mpaka sasa mama anajua me nakunywa tu wine. Kumbeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unafikiri kushawishiwa ni kazi ww jitahd sana ukae nao mbali hao watu
Maana ukishatoka mara 2 mpka 3 kuna sehem itasema acha ujarbu na wao watasema kwan kitu gan embu onja tu kidogo