Pombe unaweza kudhani inakupa confidence kumbe inachofanya inakuondolea aibu na uoga kwa kuenda kuharibu kazi ya sehemu ya ubongo inayoitwa amygdala.Wakuu mi sijawahi lewa last time 2012 Castle Lite.
Leo nimeshtua vijiglass kidogo vya St Anne. Aisee nimepata confidence sio kitoto.
Kwanza nimecheza sana, pili nimepiga story na strangers wengi ambao nikiwa sijalewa siwezi kabisa, hafu bado nipo fit ndio maana ata huu uzi nimeandika fresh tu.
Ila ubaya wa kulewa nasikia unaweza ukajiona upo fresh unafanya vitu sahihi kumbe Mungu wangu.
Ahsante sanaPombe unaweza kudhani inakupa confidence kumbe inachofanya inakuondolea aibu na uoga kwa kuenda kuharibu kazi ya sehemu ya ubongo inayoitwa amygdala.
Sehemu hii ya ubongo ndo inahusika na wewe kutafsiri mazingira kwamba mmh mazingira haya sio mazuri siwezi kufanya jambo fulani,ukawa na hofu ya kufanya eidha kwa aibu ama kuogopa.
Ukilewa katika sehemu ya ubongo ambayo pombe inapunguza zile taarifa za mfano wa umeme kupita kwa ukamilifu basi ni hiyo sehemu.
Matokeo yake taarifa juu ya mazingira yanayokuzunguka inakuwa huzitafsiri kama ilivyo kawaida penye hofu huna hofu,penye aibu huna aibu utafanya tu.
Zipo sehemu nyingi za ubongo zinaathiriwa kama vile ile sehmu inayohusika na kufanya matendo ya kawaida mtu akilewa anafanya mambo slow slow.
Na sehemu nyinginezo.
Dah ....usichanganye... confidence na careless/uzembe ni vitu tofauti [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]
Aiseeee!Pombe unaweza kudhani inakupa confidence kumbe inachofanya inakuondolea aibu na uoga kwa kuenda kuharibu kazi ya sehemu ya ubongo inayoitwa amygdala.
Sehemu hii ya ubongo ndo inahusika na wewe kutafsiri mazingira kwamba mmh mazingira haya sio mazuri siwezi kufanya jambo fulani,ukawa na hofu ya kufanya eidha kwa aibu ama kuogopa.
Ukilewa katika sehemu ya ubongo ambayo pombe inapunguza zile taarifa za mfano wa umeme kupita kwa ukamilifu basi ni hiyo sehemu.
Matokeo yake taarifa juu ya mazingira yanayokuzunguka inakuwa huzitafsiri kama ilivyo kawaida penye hofu huna hofu,penye aibu huna aibu utafanya tu.
Zipo sehemu nyingi za ubongo zinaathiriwa kama vile ile sehmu inayohusika na kufanya matendo ya kawaida mtu akilewa anafanya mambo slow slow.
Na sehemu nyinginezo.
Hajamaliza hata chupa kashalewaSt Anne ndo ile wine inakuwa kama nyeupe hivi?
Kama ndo hiyo unalewaje kirahisi hivyo?